View attachment 96327
Kati ya wote hapo nimevutiwa na suti ya Mh. Kigwa, there is a lot to tell....huyu Machali naye muda mfupi tu kawa hivi jamani?
Chezea wazee wa tembo wewe.aka Mr Ufisadi, halafu hakwenda na bastola huko
most likely...alivyotaarifiwa kuhusu safari akaamua kusoma historia ya uchina na japan akakuta enzi hizo walivaa suti hizo akadhani bado wanazivaa....ana akili iliyoganda
most likely...alivyotaarifiwa kuhusu safari akaamua kusoma historia ya uchina na japan akakuta enzi hizo walivaa suti hizo akadhani bado wanazivaa....ana akili iliyoganda