Suti ya Diamond Platinumz

Suti ya Diamond Platinumz

Sikonge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2008
Posts
11,633
Reaction score
6,229
Baada ya kuvaa kijeshi, iliandikwa kuwa alipata kasheshe kidogo.....

IMG_20141021_145913.jpg
 
Ningelishauri siku nyingine atinge na hii suti...............

opposuits-commando3_orig.jpg
 
Hivi hata hii JWTZ wanaweza kudai ni SUTI yao? Maana sijui hadi leo sheria inasemaje... Nyani Ngabu

OP222A009-N11@11.jpg
 
Last edited by a moderator:
Aendelee kuvaa alafu ye c rais wa wasafi kwann anavaa ambazo huwa zinapigiwa mazoez muda mwingine.
 
Hapo nakubaliana na wewe maana wasafi na hayo magwanda, hawakuwa wasafi tena.

Ila ndani ya suti ya kijesi, watakuwa wasafi kwelikweli. Ngoja tusubiri tuone.

Aendelee kuvaa alafu ye c rais wa wasafi kwann anavaa ambazo huwa zinapigiwa mazoez muda mwingine.
 
Back
Top Bottom