Suruali noma kwa walembo

Suruali noma kwa walembo

Gatuso ndio nini......

halafu hoja yako sijaielewa....

Tukivaa sketi hivo vinyweleo ndio havionekani
hizo ni suruali za kizamani zilizokuwa zinashonwa kwa sindano ya mkono imekaa kama pukutio la mashineni.
 
Utazani au utadhani?.mkuu ipende lugha yetu na haipendezi kuchanganya na kiingereza.
 
4275608271_4e731bb018.jpg

Wenzako hizi ni hanjam........khalagabaho...!
 
Back
Top Bottom