Sura zetu hutuonea haya na kutusuta

Sura zetu hutuonea haya na kutusuta

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,603
Reaction score
860,778
Wanasema sura sio roho! Kumbe hivi ni vitu viwili tofauti ndani ya mamlaka moja.. Ndugu wasiopendana

Kuna watu hawapendi kabisa kujiangalia kwenye kioo.[emoji23] sura zao zinawasuta, zinaona aibu, zinaona soni
Wengine hawapendi kujiangalia wanapotoka kufanya jambo fulani baya.

. Sura ya kuingia gesti ni tofauti na sura ya kutoka gesti..lakini zote ni vigumu mno kujiangalia kwenye kioo
. Sura ya kutoka kujichua
. Sura ya kutoka kufumaniwa
. Sura ya kutoka kuchepuka
. Sura ya kutoka kuiba
. Sura ya kutoka kupiga chabo
. Sura ya kutoka kusutwa nk

Macho ndio indicator na kiwakilishi cha sura, mapambano ya kuficha uovu, ubaya, aibu macho yanahusika kwa asilimia 100. Adam alipokengeuka na mkewe pale Eden, Bwana Mungu mkuu akamuuliza Adam uko wapi? Akamwambia niko huku Bwana! Akaulizwa mbona leo umejificha? Akasema kwakuwa ni uchi.. Bwana Mungu akamuuliza umejuaje kwamba uko uchi!? [emoji23] Imagine kipindi hicho kungekuwa na vioo Adam angeweza kweli kujiangalia!?

Roho ndio asili ya yote mema na mabaya! Ufanyacho chochote ndicho hicho hicho roho itakileta nuruni kupitia macho.. Achana na mdomo huu hubabaika baada ya maswali lakini sura kupitia macho ndio huongea yote..

Uso kusawajika
Macho kushindwa kuwa imara unapotazamwa moja kwa moja
Sura kupauka ghafla
Midomo kucheza
Mate kukauka na meno kutoa jasho[emoji1787] hizo zote ni dalili za mashtaka ya roho na kuikana sura..
Kinachokusuta sio sura ni roho, sura ni kiambishi tu kwakuwa ndio inaonekana.. Unajaribu kukana uhalifu uliotenda lakini sura yako bila utashi wako lakini kwa amri ya roho inakukataa. ! Inakukana.. Unajikuta huna la kufanya zaidi ya kupepesa macho huku na kule...

Chukua kioo halafu ujiangalie sura yako kisha useme hivi kweli mimi ndio nimefanya vile..!?[emoji23] uone kama utahimili kujiangalia mara mbili
 
Mwigulu_Nchemba.jpg
Sura ya Tozoo.
 
Ndo maana ukitembea na mwanamke usiyempenda kwa bahati mbaya,
Wanasema sura sio roho! Kumbe hivi ni vitu viwili tofauti ndani ya mamlaka moja.. Ndugu wasiopendana

Kuna watu hawapendi kabisa kujiangalia kwenye kioo.[emoji23] sura zao zinawasuta, zinaona aibu, zinaona soni
Wengine hawapendi kujiangalia wanapotoka kufanya jambo fulani baya.

. Sura ya kuingia gesti ni tofauti na sura ya kutoka gesti..lakini zote ni vigumu mno kujiangalia kwenye kioo
. Sura ya kutoka kujichua
. Sura ya kutoka kufumaniwa
. Sura ya kutoka kuchepuka
. Sura ya kutoka kuiba
. Sura ya kutoka kupiga chabo
. Sura ya kutoka kusutwa nk

Macho ndio indicator na kiwakilishi cha sura, mapambano ya kuficha uovu, ubaya, aibu macho yanahusika kwa asilimia 100. Adam alipokengeuka na mkewe pale Eden, Bwana Mungu mkuu akamuuliza Adam uko wapi? Akamwambia niko huku Bwana! Akaulizwa mbona leo umejificha? Akasema kwakuwa ni uchi.. Bwana Mungu akamuuliza umejuaje kwamba uko uchi!? [emoji23] Imagine kipindi hicho kungekuwa na vioo Adam angeweza kweli kujiangalia!?

Roho ndio asili ya yote mema na mabaya! Ufanyacho chochote ndicho hicho hicho roho itakileta nuruni kupitia macho.. Achana na mdomo huu hubabaika baada ya maswali lakini sura kupitia macho ndio huongea yote..

Uso kusawajika
Macho kushindwa kuwa imara unapotazamwa moja kwa moja
Sura kupauka ghafla
Midomo kucheza
Mate kukauka na meno kutoa jasho[emoji1787] hizo zote ni dalili za mashtaka ya roho na kuikana sura..
Kinachokusuta sio sura ni roho, sura ni kiambishi tu kwakuwa ndio inaonekana.. Unajaribu kukana uhalifu uliotenda lakini sura yako bila utashi wako lakini kwa amri ya roho inakukataa. ! Inakukana.. Unajikuta huna la kufanya zaidi ya kupepesa macho huku na kule...

Chukua kioo halafu ujiangalie sura yako kisha useme hivi kweli mimi ndio nimefanya vile..!?[emoji23] uone kama utahimili kujiangalia mara mbili
Ndo maana ukifanya mapenzi na mwanamke usiyempenda,kwa bahati mbaya ukimaliza hata kumuangalia usoni unaona aibu
 
Wanasema sura sio roho! Kumbe hivi ni vitu viwili tofauti ndani ya mamlaka moja.. Ndugu wasiopendana

Kuna watu hawapendi kabisa kujiangalia kwenye kioo.[emoji23] sura zao zinawasuta, zinaona aibu, zinaona soni
Wengine hawapendi kujiangalia wanapotoka kufanya jambo fulani baya.

. Sura ya kuingia gesti ni tofauti na sura ya kutoka gesti..lakini zote ni vigumu mno kujiangalia kwenye kioo
. Sura ya kutoka kujichua
. Sura ya kutoka kufumaniwa
. Sura ya kutoka kuchepuka
. Sura ya kutoka kuiba
. Sura ya kutoka kupiga chabo
. Sura ya kutoka kusutwa nk

Macho ndio indicator na kiwakilishi cha sura, mapambano ya kuficha uovu, ubaya, aibu macho yanahusika kwa asilimia 100. Adam alipokengeuka na mkewe pale Eden, Bwana Mungu mkuu akamuuliza Adam uko wapi? Akamwambia niko huku Bwana! Akaulizwa mbona leo umejificha? Akasema kwakuwa ni uchi.. Bwana Mungu akamuuliza umejuaje kwamba uko uchi!? [emoji23] Imagine kipindi hicho kungekuwa na vioo Adam angeweza kweli kujiangalia!?

Roho ndio asili ya yote mema na mabaya! Ufanyacho chochote ndicho hicho hicho roho itakileta nuruni kupitia macho.. Achana na mdomo huu hubabaika baada ya maswali lakini sura kupitia macho ndio huongea yote..

Uso kusawajika
Macho kushindwa kuwa imara unapotazamwa moja kwa moja
Sura kupauka ghafla
Midomo kucheza
Mate kukauka na meno kutoa jasho[emoji1787] hizo zote ni dalili za mashtaka ya roho na kuikana sura..
Kinachokusuta sio sura ni roho, sura ni kiambishi tu kwakuwa ndio inaonekana.. Unajaribu kukana uhalifu uliotenda lakini sura yako bila utashi wako lakini kwa amri ya roho inakukataa. ! Inakukana.. Unajikuta huna la kufanya zaidi ya kupepesa macho huku na kule...

Chukua kioo halafu ujiangalie sura yako kisha useme hivi kweli mimi ndio nimefanya vile..!?[emoji23] uone kama utahimili kujiangalia mara mbili
Sura ya kuwa chawa
 
Back
Top Bottom