Sura ngumu lakini hakuna Accountability!!

Msura utafikiri mituta ya viazi lakini lioga linatishiwa na sura za kike

Jamani huyu mtu siyo mwoga ila hana nafasi ya kufanya maamuzi. Yeye siyo appointing authority. Lawama ziende kwa mwenye sura nzuri (JK) na mpiga chenga za Maradonna.
 
hapa tunaangalia mfumo,hakuna mtu msafi mwenye akili na utashi anayeweza kuutumikia mfumo wa uoza.PINDA usafi wake hatuwezi kuuona hadi atakapokata shauri arudishe ofisi arudi kwenye mashamba yake,eti mtoto wa mkulima!
 
acheni kuikosoa kazi ya mikono ya MUNGU

Hebu waambie bwana! Sura ya mtu ina uhusiano gani na utendaji wake? Hata mie natamani ningekuwa na sura nzuri lakini ndo nshazaliwa hivi, nafanyaje? Tuacheni na sura zetu! Kosoeni utendaji wa mtu, kazi ya Mungu iacheni kama ilivyo.
 
Back
Top Bottom