Ananipenda sawa, lakini ana sura ya baba

Wakuu
Huyu demu anajaribu kunishawishi kuwa ananipenda, lakini kwakweli ana sura ya baba.
Mlio na uzeofu na hawa ugly girls nipeni muongozo.
😂😂😂 Kuna jamaa alimuoa mwanamke wa dizaini hiyo huko mkoani akamleta town


Mke wake alikuwa anakuja ofisini kwake (fundi na muuza vifaa vya pikipiki ) kumletea chakula

Washikaji walikuwa wanamcheka sana hadi akamkataza asikanyage pale ofisini

Washikaji waliendelea kumnanga hadi akamuacha yule manzi.


NB:

Usioe kwa faida yako tu angalia maslahi ya watoto wako


Usije kuoa mwanamke ambaye baadaye hata watoto wako hawatotaka mama yao ahudhurie shuleni kwao wakiogopa kuchekwa na wanafunzi wenzao
 
Back
Top Bottom