donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,131
Hahah, angalia usimalize sadaka mkuuAyaaaa. umenitamanisa ngoja nibadili njia, naacha kwenda kanisani nikapate supu kwanza.
Supu hiyo inaonekana ya ulimi mchanganyiko na mbavu
Mimi mwenyewe nimeishia mlangoni narudi kupata thupuuuuAyaaaa. umenitamanisa ngoja nibadili njia, naacha kwenda kanisani nikapate supu kwanza.
Supu hiyo inaonekana ya ulimi mchanganyiko na mbavu
kye kye kyeeeeeMimi mwenyewe nimeishia mlangoni narudi kupata thupuuuu
Ni kwel mkuu, nimekula sana boflo maeneo ya kwa mchinaWa znz ndio wapenzi sana wa boflo kwa supu
Hahah, muhimu mkuudaah! umenitamanisha sana.. itabidi niiweke kwenye ratiba zangu za wiki hii.
Hongera mkuuAsante Allah kwa supu nilokua leo hapa Ocean View posta. Nampenda sana mume wangu.
Haaaaa Haaaaa angalia usiwe bongeMimi mwenyewe nimeishia mlangoni narudi kupata thupuuuu
kwaninWa znz ndio wapenzi sana wa boflo kwa supu
Dah!!!,Mate yananidondoka.