Superstar hawezi kuishi tandale

Wadau mbona mmemshambulia sana bwana mdogo?

Labda dogo hakuwa straight kwenye hoja yake, ingawa na mimi niliguswa kidogo na kusikia kwamba eti msanii wa bongofleva aliyejinyakulia tuzo nyingi kuliko msanii yeyote yule kwenye 2010 Kilimanjaro Music Awards anayejulikana kama Diamond Platinum anaishi Tandika.

Kweli Celebrity unaishi Tandika???????

kwanza unatakiwa ujue kipato chao kikoje kisha ndio uwalaumu kwa kuishi wanapoishi.
wengi wa wasanii hawa kwanza kabisa wanaishiwa kunyonywa na wanaojiita mapromoter,ukiujua ukweli wa sanaa ya tz wala hutashangaa kumuona msanii akiishi zake huko buguruni na tandika sijui.
jay dee ambaye anaongoza kimaendeleo miongoni mwa wasanii tena wakongwe lkn ameweza kujenga kimara na sio huko mbezi beach na oysterbay na masaki.
hivyo huyo dimond wa jana kumtaka akaishi huko unakodhani ndiko kuna hadhi yake ni kumuonea tu.
 
Back
Top Bottom