Superpower ni mmoja tu dunia ya sasa, multipolar world bado iko mbali sana

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,660
46,349
Kwa ufupi ili uwe superpower lazima uwe na nguvu kubwa kiuchumi na uwezo wa "ku project" power/kuipeleka nguvu yako katika eneo kubwa zaidi la dunia kwa njia mbalimbali.

Taifa pekee lenye uwezo huu kwa sasa ni USA. Marekani ndilo taifa lenye vituo vingi zaidi vya kijeshi duniani, zana za kijeshi sehemu kubwa ya dunia, ndilo taifa linaloweza kupeleka majeshi sehemu nyingi zaidi za dunia pamoja na kupigana vita nyingi kwa wakati mmoja.

Katika suala la Uchumi ndilo taifa linaloweza kutumia vikwazo vya kiuchumi na nguvu ya pesa yake kama nyenzo katika kufanikisha maslahi yake katika sehemu kubwa ya dunia.

Pia suala la utamaduni wako kuweza kushawishi na kutawanyika sehemu kubwa ya dunia ni muhimu katika superpower. Utamaduni wa USA umezagaa dunia nzima.

China inakuja juu kwa uchumi kwa kasi ila bado haijafikia nafasi ya kuwa superpower hata hivyo haionekani kutumia sana jeshi katika maslahi yake na pia utamaduni wake haujaweza kuwa na ushawashi nje ya mipaka yake. China na India zinazokua pamoja na Urusi inayodidimia tunaweza kuziita ni great powers au regional powers.
 
Marekani ina Enemy within (Soo Divided) Politically, Culturally and even when it comes to faith....,

Adui wa Marekani wala hatoki nje ni kupatikana mtu kama Trump na kuwakoroga wenyewe kwa wenyewe....; Nguvu waliyonayo sehemu kama China au Russia ni wakipata mtu / kiongozi mwenye vision ni rahisi kuwaambia tokeni hapa mwende pale wakaenda bila kubisha... (deep down they are unified as one)

Nguvu ya Jeshi ni more of a deterrent /shield ili uheshimiwe ukishatumia hio turufu dunia itakugeuka itabidi utumie nguvu nyingi ku-justify ulichofanya (ndio maana mpaka leo America inajutia ilichofanya Japan na ilibidi kuondoka Vietnam Afghanistan n.k.)

Na mpaka leo South Korea hawajamfuata kwa kuogopa anachoweza kufanya na nuclear arsenal zake....; Now the Propaganda War is more of a Force....
 
Marekani ina Enemy within (Soo Divided) Politically, Culturally and even when it comes to faith....,

Adui wa Marekani wala hatoki nje ni kupatikana mtu kama Trump na kuwakoroga wenyewe kwa wenyewe....; Nguvu waliyonayo sehemu kama China au Russia ni wakipata mtu / kiongozi mwenye vision ni rahisi kuwaambia tokeni hapa mwende pale wakaenda bila kubisha... (deep down they are unified as one)

Nguvu ya Jeshi ni more of a deterrent /shield ili uheshimiwe ukishatumia hio turufu dunia itakugeuka itabidi utumie nguvu nyingi ku-justify ulichofanya (ndio maana mpaka leo America inajutia ilichofanya Japan na ilibidi kuondoka Vietnam Afghanistan n.k.)

Na mpaka leo South Korea hawajamfuata kwa kuogopa anachoweza kufanya na nuclear arsenal zake....; Now the Propaganda War is more of a Force....
Jikite kwenye mada
 
Kwa ufupi ili uwe superpower lazima uwe na nguvu kubwa kiuchumi na uwezo wa "ku project" power/kuipeleka nguvu yako katika eneo kubwa zaidi la dunia kwa njia mbalimbali.

Taifa pekee lenye uwezo huu kwa sasa ni USA. Marekani ndilo taifa lenye vituo vingi zaidi vya kijeshi duniani, zana za kijeshi sehemu kubwa ya dunia, ndilo taifa linaloweza kupeleka majeshi sehemu nyingi zaidi za dunia pamoja na kupigana vita nyingi kwa wakati mmoja.

Katika suala la Uchumi ndilo taifa linaloweza kutumia vikwazo vya kiuchumi na nguvu ya pesa yake kama nyenzo katika kufanikisha maslahi yake katika sehemu kubwa ya dunia.

Pia suala la utamaduni wako kuweza kushawishi na kutawanyika sehemu kubwa ya dunia ni muhimu katika superpower. Utamaduni wa USA umezagaa dunia nzima.

China inakuja juu kwa uchumi kwa kasi ila bado haijafikia nafasi ya kuwa superpower hata hivyo haionekani kutumia sana jeshi katika maslahi yake na pia utamaduni wake haujaweza kuwa na ushawashi nje ya mipaka yake. China na India zinazokua pamoja na Urusi inayodidimia tunaweza kuziita ni great powers au regional powers.
Kwenye suala la uchumi kwa sasa hivi upo sawa ila china itaenda kuishusha marekani.kwenye suala la kijeshi urusi ndo superpower Kwa sababu nchi zote za NATO ikiwepo Marekani wametoa kila kitu kuanzia silaha,mbinu na wataalamu ili wawasaidie Ukraine bado wamefeli.nchi zaidi ya 30 dhidi ya nchi moja.urusi kwenye mambo ya kijeshi ni superpower.
 
Kwenye suala la uchumi kwa sasa hivi upo sawa ila china itaenda kuishusha marekani.kwenye suala la kijeshi urusi ndo superpower Kwa sababu nchi zote za NATO ikiwepo Marekani wametoa kila kitu kuanzia silaha,mbinu na wataalamu ili wawasaidie Ukraine bado wamefeli.nchi zaidi ya 30 dhidi ya nchi moja.urusi kwenye mambo ya kijeshi ni superpower.
Marekani hawajawapa Ukraine silaha za nuclear

Hawajawapa makombora ya masafa marefu.

Hawajapwa ndege zozote za kijeshi

Hawajwapa vifaru

Hawajawapa nyambizi.

Hawajawapa meli za kivita.
 
Uyasemayo ni kweli kabisa, napenda kuongezea nyama kwenye utamaduni. Watu wanajizimaa data sanaa kwenye hili suala, au ndo tuseme ujinga wa kihistoria. Ipo hivi kila kijana anataka kuvaa jeans, utamaduni wa jeans ulianzia Marekani. Na lilikuwa balaa kubwaa sana pale enzi zile za USSR palee vijana wa kirusi wakiwa na mabwanga yao yenye rangi hafifu walipodai na wao wanataka fashion ya kuvaa jeans.

Unakuta lijitu limevaa jeans afu linabwabwata domo.
 
Marekani hawajawapa Ukraine silaha za nuclear

Hawajawapa makombora ya masafa marefu.

Hawajapwa ndege zozote za kijeshi

Hawajwapa vifaru

Hawajawapa nyambizi.

Hawajawapa meli za kivita.
Kwa sababu wanajua hizo silaha zote hazina maana kwa warusi.
 
I
Warusi wanakuja kukupatia data za mchongo 😂😂
Kwenye suala la uchumi kwa sasa hivi upo sawa ila china itaenda kuishusha marekani.kwenye suala la kijeshi urusi ndo superpower Kwa sababu nchi zote za NATO ikiwepo Marekani wametoa kila kitu kuanzia silaha,mbinu na wataalamu ili wawasaidie Ukraine bado wamefeli.nchi zaidi ya 30 dhidi ya nchi moja.urusi kwenye mambo ya kijeshi ni superpower.
Kwani unafikiri hawajui mkuu?? basi tu ni wabishi tu by default - wakishindwa kwenye malengo yao yasiyo na mantiki ndio uhibua hoja zisizo kuwa na kichwa wala miguu mfano ni kama huu!! Mtu unge tegemea walao wangeleta hoja kwa nini Ukraine na NATO kwa nini wali fail miserable katika hyped counter offensive zao dhidi ya Urusi badala yake mkaishia silaha zao walizo zisofia Dunian zima, mfano: vifaru vya challenger na Leopard TANKS kutiwa kiberiti na silaha za Urusi Americans were very crafty hawakupeleka kifaru. hata komoja walijua kwamba vikitiwakibetiti na silaha za Utusi Amerika itakosa soko la vifaru vya Abram, pia katika counter offensive hiyo wanajeshi 2,400 wa Ukraine,amulukina some NATO troops including Americans waliuwawa within 24 hours., lakini nyinyi hivyo hamvisemi - Nyie endeleeni na your inbuilt dharau zenu dhidi ya Urusi na Putin in particular,, lakini mambo kwenye frontline yana wadhalilisha kweli kweli.
 
Kwenye suala la uchumi kwa sasa hivi upo sawa ila china itaenda kuishusha marekani.kwenye suala la kijeshi urusi ndo superpower Kwa sababu nchi zote za NATO ikiwepo Marekani wametoa kila kitu kuanzia silaha,mbinu na wataalamu ili wawasaidie Ukraine bado wamefeli.nchi zaidi ya 30 dhidi ya nchi moja.urusi kwenye mambo ya kijeshi ni superpower.
Kwani unafikiri hilo hawalijui mkuu?? basi tu ni wabishi tu by default - wakishindwa kwenye malengo yao yasiyo na mantiki ndio uhibua hoja zisizo kuwa na kichwa wala miguu mfano ni kama huu!! Mtu unge tegemea walao wangeleta hoja kwa nini Ukraine na NATO kwa nini wali fail miserable katika hyped counter offensive zao dhidi ya Urusi badala yake wakaishia silaha zao walizo zisifia Dunian zima, mfano: vifaru vya challenger na Leopard TANKS kutiwa kiberiti na silaha za Urusi, Americans were very crafty hawakupeleka kifaru. hata komoja walijua kwamba vikitiwa kibetiti na silaha za Urusi Amerika itakosa soko la vifaru vya Abram, pia katika counter offensive hiyo wanajeshi 2,400 wa Ukraine,mamuluki na some NATO troops including Americans waliuwawa within 24 hours., lakini nyinyi hivyo hamvisemi - Nyie endeleeni na your inbuilt dharau zenu dhidi ya Urusi na Putin in particular,, lakini mambo kwenye frontline wana wadhalilisha kweli kweli, kwamba NATO hawana ubavu wakupimana misuli na Russia, Uchina na North Korea. hata Iran siku hizi inaweza kuwatoa makasi-Merikani zamani sio siku hizi.
 
I


Kwani unafikiri hawajui mkuu?? basi tu ni wabishi tu by default - wakishindwa kwenye malengo yao yasiyo na mantiki ndio uhibua hoja zisizo kuwa na kichwa wala miguu mfano ni kama huu!! Mtu unge tegemea walao wangeleta hoja kwa nini Ukraine na NATO kwa nini wali fail miserable katika hyped counter offensive zao dhidi ya Urusi badala yake mkaishia silaha zao walizo zisofia Dunian zima, mfano: vifaru vya challenger na Leopard TANKS kutiwa kiberiti na silaha za Urusi Americans were very crafty hawakupeleka kifaru. hata komoja walijua kwamba vikitiwakibetiti na silaha za Utusi Amerika itakosa soko la vifaru vya Abram, pia katika counter offensive hiyo wanajeshi 2,400 wa Ukraine,amulukina some NATO troops including Americans waliuwawa within 24 hours., lakini nyinyi hivyo hamvisemi - Nyie endeleeni na your inbuilt dharau zenu dhidi ya Urusi na Putin in particular,, lakini mambo kwenye frontline yana wadhalilisha kweli kweli.
NATO bado hata haijatia mguu katika hiyo vita
 
Umewahi kuwa hata mwenyekiti wa mtaa??
Swali lako halihusiani na upolisi unaofanywa na USA kwa nchi nyingine.

Kwani ukiachana na mafanikio tunayoyapata kama nchi kupitia ushirika na USA, Binafsi hao USA wanakupa nini hutaki wakosolewe? Maana naona huwa unapata uchungu kabisa. Ni ibada unafanya?
 
Back
Top Bottom