Super Star wetu Wa Bongo

with beckham

djb.jpg

Mbona Beckham jicho kwa mama mwanaasha tu?
 
Naomba Mungu kila siku jamaa amalize muda wake angalau heshima ya kaya yetu irejee. Vinginevyo ni balaa na ajali ya kihistoria.
 
wote hao ni wasanii mmoja msanii wa mjini na mwengine wa kijijini
Mmoja alileta usanii wa vijiji vya ujamaa na kutuingiza mkenge wa 79 vita vilivyotufikisha hapa tulipo kwa madeni kila pembe na mwengine akiendeleza usanii wa mjini kuonesha nae amewahi

leo munaona usanii huu sababu tulifungwa midomo kipindi kile ndio hamukuona usanii ule,
wote wanapenda kusema, mmoja kwa hamasa na mmoja kwa upole

Hivi leo mumesahau zile kadi za ratio ya mafuta na jumapili hakuna private kutembea wasanii kupewa mashirika ya umma walikuwa na kula hakuna kusema mumesahau wanafunzi chuo kikuu walipogoma sababu chumba kimoja watu wanne akawaambia eti kule kweni vijijini munalala na ngombe zizini
 
Stineriga hiyo picha na bongo movie artists nimeipenda, bila shaka super star wetu kimoyomoyo anaimba, "Nikikupata milele nitafurahiiiiii.......! Tehetehetehetehetehetehetehetehe..Kwi kwi kwi kwi kwi.......
 
Nilipokuwa na umri wa balehe, kule milimani tulikuwa tunatengeneza makarai mabovu kwa ajili ya kuteleza milimani. Hii ilikuwa ni kuokoa kutoboka kwa kaptura zetu za shule. Loh, kumbe yapo mazuri hivi, afu huyu anayejaribisha mbona mkubwa sana:yawn:

Hiyo style kule sumbawanga tuliita masozi tulimaliza sana kaptura zetu. Kweli jamaa anatuinjoi tuu hana uchungu na sie
 
Back
Top Bottom