Super Feo Express na route mpya ya Songea-Dodoma.

Super Feo Express na route mpya ya Songea-Dodoma.

Tz tumeendeleaaaa!!!

Yaani ni kama vile fastjet walivyokuwa wanatangaza route yao mpya ya Mbeya mwaka jana.
Sasa imeingia kwenye mabasi ya mikoani. Baada ya hapo itakuja route za daladala mijini. Mara tutasikia "route mpya ya daladala Tandika to vingunguti via yombo buza kwa Jimmy kilauri opening soon!!!!"
 
wadau,,

Bus gani confortable kwa usafiri wa Dar to Mtwara,,

Natarajia kutembelea huko hiv karibuni,,

Hii hapa japo ilipata ajali juzi.
Manin'g nice.
 

Attachments

  • 1395342187753.jpg
    1395342187753.jpg
    61.5 KB · Views: 251
Is better angefika hadi Arusha kabisa kupitia Singida. Nadhani route ya Songea -Arusha (Via Mtera na Singida) ndiyo itakuwa nzuri zaidi kuliko kuishia Dodoma.

Route ndefu sana hiyo mkuu.
Asingeweza kufika kwa siku moja maana nadhani angelala Singida.
Kumbuka kutoka Dodoma kuitafuta Singida pana ka mwendo kiasi.
Angefika labda kuanzia saa mbili usiku.
Arusha angefika kuanzia saa nane kitu ambacho sidhani kama angeruhusiwa.


Marekebisho panapostahili yanaruhusiwa.
 
Hongera mama spikabkwa kutuletea huduma hii. buni route nyingine kama vile Arusha ...Bukoba

Jamani hizi stori za umiliki wa haya Magari sio kweli kwamba mama Anna Makinda ndiye mmiliki, wala sio E.Nchimbi. Mmiliki ni jamaa mmoja anaitwa Omarion.... Bi kiroboto ataweza wapi hii kitu....
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Route ndefu sana hiyo mkuu. Asingeweza kufika kwa siku moja maana nadhani angelala Singida. Kumbuka kutoka Dodoma kuitafuta Singida pana ka mwendo kiasi.Angefika labda kuanzia saa mbili usiku.Arusha angefika kuanzia saa nane kitu ambacho sidhani kama angeruhusiwa.


Marekebisho panapostahili yanaruhusiwa.

Hapana Bro,
Kwa mujibu wa TANROAD distance chart ya Mwaka 2009, umbali wa kutoka Songea hadi Arusha (Via Dodoma, Singida na Babati) ni around Km 1144. Wakati huo Umbali kutoka Mwanza hadi Dar ni Km 1152. Aidha, umbali kutoka Arusha hadi Mbeya (Via Chalinze) ni around Km 1250.Hizo route mbili za Dar - Mwanza na Arusha - Mbeya ni ndefu kuliko route ya Songea hadi Arusha (Via Mtera, Singida na Babati)na mabasi ya hizo route hayalali njiani. Yanafika siku hiyo hiyo kuanzia saa mbili hadi saa nne usiku.

Pia miaka michache ijayo hakutakuwa na haja ya kupitia Singida kuitafuta Babati. Ile barabara ya kutoka Dodoma kupitia Kondoa na kuibukia Babati Mkandarasi yupo site. So ikikamilika patazidi kuwa pafupi zaidi kuliko hata ilivyo sasa kuzungukia Singida.

Kwangu mimi Route ya Songea hadi Arusha ni fupi. Changamoto yake ni kipande cha Songea hadi Njombe lakini bahati nzuri Super Feo ni wakongwe wa hilo eneo. Huko kwingine ni mterezo tu..
 
  • Thanks
Reactions: y-n
kwa mujibu wa brog yao watakua wanapita bwawani na bus lao litakua linatoka songea saa 12 asubuhi na kufika dodoma saa 11 na dakika 10 jioni na kurudi hivyo hivyo
 
Hawa jamaa wametuokaa sana sisi watanzania tuishio Dodoma lakini nyumbani Songea wakati wa kwenda kuona ndugu na jamaa safi sana Super Feo.
 
Jamaa wapo vizuri...nilipanda Super Feo...Songea to Dodoma via Migoli and Mtera...ni rahaaaa sana
 
This is good move, wengine km shabiby, kimbinyiko, abc wabuni route mpya, big up super feo
 
Ila kwanini kuanzia Nj0mbe - S0ngea watu wanatapika sana kwenye bus!
 
Route ndefu sana hiyo mkuu.
Asingeweza kufika kwa siku moja maana nadhani angelala Singida.
Kumbuka kutoka Dodoma kuitafuta Singida pana ka mwendo kiasi.
Angefika labda kuanzia saa mbili usiku.
Arusha angefika kuanzia saa nane kitu ambacho sidhani kama angeruhusiwa.


Marekebisho panapostahili yanaruhusiwa.

Dodoma - Singida mi 224 KM
Singida- Arusha ni 350+ KM
Kwa mwendo wa kawaida wa Km80/saa ni masaa 7 kutoka Dom to A town. Sasa mabasi yetu haya yanatembea Km120/saa
Siajabu akatumia 5 hrs hadi Arusha
 
This is good move, wengine km shabiby, kimbinyiko, abc wabuni route mpya, big up super feo

Barabara bado sana kaka. Asikudanganye mtu. Kutoka Mpunguzi kwa mbele kidogo kuna kama KM 50 bado hata hazijaanza. Kutokatera hadi Isimani sijui nyololo nimesahau jina,mwendo wa km 50 km bado sana.

Mkandarasi wa kichina yupo onsite. Tatizo hana watu. Hana vifaa zaidi ya malori ya mchanga tu. Bado sana hii njia ya mtera-iringa
 
Hawa jamaa wametuokaa sana sisi watanzania tuishio Dodoma lakini nyumbani Songea wakati wa kwenda kuona ndugu na jamaa safi sana Super Feo.

Wamewaokoa kivipi au hujui yeye anaingiza pesa?
Hiyo ni huduma na wewe unalipia huduma inayopelekea yeye kupata faida. Au mnasafirishwa bure?
 
Wamewaokoa kivipi au hujui yeye anaingiza pesa?
Hiyo ni huduma na wewe unalipia huduma inayopelekea yeye kupata faida. Au mnasafirishwa bure?

Hebu waza kama mtu mzima!!!!!!
Kwani wakati hiyo route haipo walikuwa wanaenda
bure???!!

Au kuokolewa kwako ni pesa tu???!!!
 
Back
Top Bottom