Heh una hasira mzee find ways to chillMbona vitu vya kawaida sana. Sasa mayai na ndizi na boflo ndio ushua. Ni maisha ya mwanadamu yoyote kila siku .
Nimeweka mixer mbona..All are fried foods and starches Bora supu ya samaki, kuku ,matunda and vegetables ningekubali kinyama.
Hizo oil lubricants sio nzuri kabisa na ndio mana mavitambi hayaishi, Kuna muda unakuwa na hela Ila hela yako inakumaliza mwenyewe.
Mhogo uliochemshwa, yai la kuchemsha, karanga pembeni za kukaanga ama za kuchemshwa na maziwa ya ng'ombe halisi ya kienyeji asikuambie hii kitu , kuku wawe wale wanaojitafutia chakula wenyewe wanapata natural not man made vitamins