Gongo ni gongo, halina cha usasa wala uzamani dogo!
Kukujibu swali lako: Super Ghee ni brand ya mafuta ya kupikia. Hayapatikani leo hii ila yalikuwa mazuri sana.
Usiwe na shaka gfsonwin.. hata mie nakumbuka yalikuwa yakitokea humo kabla ya Kimbo toka kenya kuchukua nafasi yake...si unajua tena watz tulivyochakachua vyetu??
Usiwe na shaka gfsonwin.. hata mie nakumbuka yalikuwa yakitokea humo kabla ya Kimbo toka kenya kuchukua nafasi yake...si unajua tena watz tulivyochakachua vyetu??
sasa huyu mwenye kijamba koti cha njano hapa chini anajifanya amewakamata washkaji hapa chini.je angekutana na hao wafuasi wa mabwepande hapo juu angewakamata au ndo nchi ya kitu kidogo.
na hiyo harusi nafikiri hao maharusi wanataka kufa kabla hawajaonja tunda la katikati sasa huo ndo usafiri gani wa kutumia siku muhimu kama hiyo.shauri yao.
Hapa anaelewa vizuri sana, pia kulingana na weather ni poa kabisa na assignments zake anazifanya kwa uhakika zaidi. Ila tu asije akachengwa na kuanza kudei porno .... itakuwa.....balaa