- Thread starter
- #21
asante hawajanijuza nilipofika kule ndio naambiwa traine kumbe kuuza taapole rafiki wamekujuza hao sunda international
asante hawajanijuza nilipofika kule ndio naambiwa traine kumbe kuuza taapole rafiki wamekujuza hao sunda international
yaani nimechoka sina hamu tena ngoja nirudi kwenye kibanda changu cha chipsNdio kazi yenyewe hiyo? Wahuni tuu hao
Nimeamua kuacha hawanipati tenaHao wahindi watakutembeza mpaka miguu iote magaga
aisee unitakii memaTembeza vyombooo
mbona wanatutesa hivyo unafanya kazi masaa 8 halafu hakuna posho yaani jana mvua na jua vyote vyangu halafu narudi hata nauli sikupewaSunda ni bilionea wa Arusha
acha tu nimejifunza siwezi tena kurudia makosaHapo kama wangekua wanahitaji secretary wangekufanyia interview ya secretary na ungekaa ofisini, sasa we Umefanyiwa ya sales na umekubali kutembeza bidhaa nawe umekosea.
sio vizuri bhana.acha tu nimejifunza siwezi tena kurudia makosa
we endelea mimi narudi mtaani kutafuta zangu na sio kutafutia watusio vizuri bhana.
njoo tuendelee kulijenga taifa letu
ndio nimeamini halafu wanakuambia kesho tutaendelea na zoeziKazi ni hiyo ya kutembeza bidhaa mitaani ndiyo maana unajafanyiwa majaribio kwenye kazi hiyo.
Habari, Naomba msaada wenu kwa wanao elewa kampuni ya sunda international group iliyopo kigogo inajishughulisha na nini na vipi pale unapoajiliwa unafanya kazi zipi nimeomba kazi ila interview ya kwanza ilikuwa trainee ya kwenda kuuza bidhaa je inakuwa ndio kazi yenyewe au huwa wanabadilishiwa na kupewa kazi za ofisini na kuacha hiyo ya kutembeza. Mawazo yenu ni muhimu na sio masimango, matusi na dharau. Asanteni