Sumu ya nyoka haikuumbwa kwa ajili ya kuwaumiza watu. Ni kimiminika cha thamani kubwa kwa nyoka ambacho hutumika kwa ajili ya kuishi. Nyoka hutegemea sumu hiyo kuwinda mawindo yao, na kwa kuwa kuitengeneza kunahitaji muda na nguvu nyingi, hawaitumii hovyo.
Nyoka anapomng'ata binadamu, mara...
Binadamu tunashauriwa kuepuka chuki na wivu, kwani imefahamika kuwa, tabia ya kujenga chuki na wivu juu ya binadamu mwenzako ni sumu kali kwenye mwili wako ambayo inaharibu viungo kama, moyo, figo, mapafu na hivyo husababisha kisukari, presha/ugonjwa wa moyo na hatimaye kifo.
Inashauriwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.