trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
vipi dar express imeshafunguliwa?wafungie haya ya waarabu watuachie ya ndugu zetu
PM si anayo kadhaa katika Sumry?
vipi dar express imeshafunguliwa?wafungie haya ya waarabu watuachie ya ndugu zetu
poleni sana wahanga wa tukio hilo, na mimi ndo kwanza nilikuwa nawaza hapa kumchukulia mdogo wangu tiketi katika bus hilo duuuuh..!! aiseeee sasa itabidi nimchukulie tiketi katika bus la champion kutokea hapa mwanza kuelekea dar...!
poleni sana wahanga wa tukio hilo, na mimi ndo kwanza nilikuwa nawaza hapa kumchukulia mdogo wangu tiketi katika bus hilo duuuuh..!! aiseeee sasa itabidi nimchukulie tiketi katika bus la champion kutokea hapa mwanza kuelekea dar...!