Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Poleni sana wahanga wote
Kwani champion
huwa halipat ajali?
Kama ipo ipo tu
Dah...na sisi tunaoenda kuhesabiwa inabidi tuwe makini sana!
source ni mim mwenyewe niko kwenye basi naelekea dar, gari limebinuka matairi yako juu, na watu bado wako kwenye gari hawajatolewa.
It is a rush hourMara Green Star,tena Sumry. Swali langu ni je, kwa nini unatokea ajali nyingi sana za mabasi mwisho wa mwaka?
Jamani hizi ajali mbona zinazidi? Tena kipindi hiki cha kukaribia chris mass inabidi madereva wawe makni sana. Poleni mlioko kwenye ajali.
Hv Champion bado inadunda tu maana dah! wana historia mbaya pale Dodoma.
Dah...na sisi tunaoenda kuhesabiwa inabidi tuwe makini sana!
poleni sana wahanga wa tukio hilo, na mimi ndo kwanza nilikuwa nawaza hapa kumchukulia mdogo wangu tiketi katika bus hilo duuuuh..!! aiseeee sasa itabidi nimchukulie tiketi katika bus la champion kutokea hapa mwanza kuelekea dar...!
poleni sana wahanga wa tukio hilo, na mimi ndo kwanza nilikuwa nawaza hapa kumchukulia mdogo wangu tiketi katika bus hilo duuuuh..!! aiseeee sasa itabidi nimchukulie tiketi katika bus la champion kutokea hapa mwanza kuelekea dar...!
Champion! Chonde, chonde chonde!