Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,491
- 57,959
Kama Nairobi ni Dar basi sawaLabda ni Nairobi
Kama Nairobi ni Dar basi sawaLabda ni Nairobi
Sheikh majini alitaka kupindua serikali akiwa wapi mkuu?Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
Kuna mtu amekuambia alitaka kupindua serikali au?Sheikh majini alitaka kupindua serikali akiwa wapi mkuu?
Namana hata tuseme anawahonga maokoto ya kutosha hata wasite kumfyeka.Wachawi wote ndo walikua wamekusanyika
Huo ndio ufipisho wa hotuba ya leo, amesema yuko tayari kufanya tena alichofanya tarehe 29 kama mtarudia tena. Total darkness.
Mwanamke kumpa madaraka makubwa ni hatari sanaa...Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
Tena mbona kawalea sana wamemtukana sana muda mrefu then wanataka kupindua Serikali yake. Unataka awachekee tu au?Mwanamke kumpa madaraka makubwa ni hatari sanaa...
Hutumia hisia na mihemko kwenye maamuzi ndo speed leo,
Mwizi wa kura kama ni mwizi mikwara muhimu kuficha uovu.Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
Tulitarajia kusikia hilo kutoka kwa machoko wa choko kitima......hivyo hakuna ulichoongea mpaka Sasa.Huo ndio ufipisho wa hotuba ya leo, amesema yuko tayari kufanya tena alichofanya tarehe 29 kama mtarudia tena. Total darkness.
Si unaungana na mtoa hotuba ya kwamba wale walioandamana walistahili kifo kwa sababu walitaka kupindua serikaliKuna mtu amekuambia alitaka kupindua serikali au?
we uchi wa mama yako jifunze uturuki ilipotokea ushungiKama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
Ashaivuruga, inaenda kufutika kwenye ramani ya dunia
Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
Na wewe mbona hukutoka wakutandike risasi mliwadanganya watoto wakakipata cha moto.
serikali kaitoa wapi?unafikiri kupata serikali ni kama kwenda kuweka kope saluniTena mbona kawalea sana wamemtukana sana muda mrefu then wanataka kupindua Serikali yake. Unataka awachekee tu au?