Summary ya leo: Nimewaua na hamna cha kunifanya!

Summary ya leo: Nimewaua na hamna cha kunifanya!

Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
Magufuli aliuwawa wangapi ?
Mama anayeuwa watoto wake ndo mpole
 
Mwanamke kumpa madaraka makubwa ni hatari sanaa...

Hutumia hisia na mihemko kwenye maamuzi ndo speed leo,
Sio kweli mkuu
Ni uwezo wa mtu sio jinsia
Kuna nchi kubwa ziliwahi kuongozwa na wanawake na hayakutokea haya

Uwezo ndo tatizo sio jinsia
 
Na wewe mbona hukutoka wakutandike risasi mliwadanganya watoto wakakipata cha moto.
90% ya waliouawa wala hawakuwa kwenye maandamano na wengine waligongewa hodi na kupigwa risasi mbele ya ndugu zao, tutaendelea na hatupoi. Just wait and see.
IMG_20251203_171509.jpg

 
  • Dislike
Reactions: UCD
Tena mbona kawalea sana wamemtukana sana muda mrefu then wanataka kupindua Serikali yake. Unataka awachekee tu au?
Aendelee kuwatuma Wazanzibari kufi*ra watoto wa watu kwakuwa huko kwao ni kitu cha kawaida kufi*ra vijana wa kiume.
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
Wewe ni mpumbavu. Hizo shilingi mbili tatu unazolipwa unaona umepata sana?? Wenzio unaowatetea wanaingiza billions of money.
 
Wewe ni mpumbavu. Hizo shilingi mbili tatu unazolipwa unaona umepata sana?? Wenzio unaowatetea wanaingiza billions of money.
Wewe kma acha kunitukana toa maoni yako kama mimi nilivyotoa maoni yangu.
 
Back
Top Bottom