Summary ya leo: Nimewaua na hamna cha kunifanya!

Summary ya leo: Nimewaua na hamna cha kunifanya!

Huo ndio ufipisho wa hotuba ya leo, amesema yuko tayari kufanya tena alichofanya tarehe 29 kama mtarudia tena. Total darkness.
Sio hivyo

Nyingine ni hii

Kushambuliwa Maaskofu na Mapadre ni amri yangu na nitazidi kuwashughulikia na hamna chochote cha kunifanya.
 
Ukishaua watu lazima uwe mweu!

Dalili ya mvua ni mawingu!
 
Back
Top Bottom