Summary ya leo: Nimewaua na hamna cha kunifanya!

Summary ya leo: Nimewaua na hamna cha kunifanya!

Huo ndio ufipisho wa hotuba ya leo, amesema yuko tayari kufanya tena alichofanya tarehe 29 kama mtarudia tena. Total darkness.
Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
 
Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
Ni kweli mpole sana ndio maana akawaua kina masta tindwa na shehe Majini
 
Kama walitaka kupindua serikali ulitegemea aseme nini mkuu? Tena mbona Rais Samia ni mpole sana kama angekuwa Nyerere, Mkapa au Magufuli mbona pangechimbika!! Saa hizi wangekuwa wanatafutana. Mnamwonea mama wa watu mpolee!!
@$$hole
 
Back
Top Bottom