Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
Nimemaanisha kuwa kwa kukiri kwao huna haja ya kuenelea kuwa laumu bali kuwafikisha mahakamani pale mashtaka yanapoonekana. Sasa wewe unachukua vipande vya magazeti na kuweka hapa jee ndivyo utatumia mahakamani? halafu kwa upumbavu wako unaita wenzako nyumbu bila kujua kuwa wewe ni zaidi ya hao nyumbu?ACHA KUPOTOSHA ,SISI SIO NYUMBU KAMA UNAVYOFIKIRI, UNATAKA KUSEMA WALIJIONDOA KWA HAYA. LABDA NIKUKUMBUSHE WALIJIONDOA ILI KWA UROHO WA MADARAKA, WALIJIONDOA BAADA YA KUKATWA. NYUMBU WEWE UENITIA HASIRA ASUBUHI YOTE HII!!!!
Maana yote uliyoonyesha hapo ni mihemko tuu, Lowassa kasha sema mara ngapi mumpeleke mahakamani nanyi mume mute? Hebu Mkapa au JK watangaze hadharani kuwa kinga yao iondolewe uone kama kesho yake tuu hawajatinga mahakamani! Kijana jichunge na kauli zako chafu.