mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,848
- 3,483
Apigwe ban
Mheshimiwa Sumaye kesho atazungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Courtyard, Dar es Salaam. Atazungumzia kilichompata Dodoma na hatima yake kisiasa ndani ya CCM.
Chanzo: Mmoja wa wandaaji wa mkutano huo.
anakaribishwa ukawa tukomboea nchi
Kenda..teh teh teh mkuu nimekupata si bure Pemba hii ��Kenda chama gn
waziri mkuu wa zamani amejitioa ccm rasmi kuanzia leo. Akizungumza na wanahabari kwenye ukumbi w courtyard jijini hapa anasema amechoshwa na democrasia uchwara ndani ya ccm.
democrasia ipi uchwara alipogombea 2010 mbona hakuama? Walewale wa kanda acha aende ,mimi nawashangaa wanazani ccm kuwa kimia ni wajinga wasubili waone ,hata iweje dora ni ya magufuli acha waende, zao,wajipange na nafasi ndani ya serikali yao ya kasikazini,
democrasia ipi uchwara alipogombea 2010 mbona hakuama? Walewale wa kanda acha aende ,mimi nawashangaa wanazani ccm kuwa kimia ni wajinga wasubili waone ,hata iweje dora ni ya magufuli acha waende, zao,wajipange na nafasi ndani ya serikali yao ya kasikazini,
ccm lazima ife, hakuna namna tena!
Wamepuuza maoni ya wananchi, sasa wanaipata outcome yake!
No way out! ....
Kenda chama gn
democrasia ipi uchwara alipogombea 2010 mbona hakuama? Walewale wa kanda acha aende ,mimi nawashangaa wanazani ccm kuwa kimia ni wajinga wasubili waone ,hata iweje dora ni ya magufuli acha waende, zao,wajipange na nafasi ndani ya serikali yao ya kasikazini,