Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Hakuna cha bomu wala risasi, hamna kitu hapo! Hamwezi Lowassa huyo na hana ujanja wa kwenda opposition!
Nahisi kinachomtesa FTS ni kwa vile EL alikuwa amepiga kambi pale Hoteli ya Summit, Katesh FTS. Hapo kweli kaona ameingiliwa mpaka jikoni.