hawa wazee wazamani wanalinda AMANI jamani, pamoja na kumsifia KIKWETE wanajua ukweli kwamba mtoto akinyea mkononi kwao huwezi kuukata mkono,... ameenda kuwatahadharisha wasilete mzaha na maisha ya watanzania......
Mungu saidia Kura wanazochakachua ziwageuke
I wish WAITARA angekuwa ndio mkuu wa jeshi kwa sasa, mkwere asingekuwa anajichekesha ki hivyoooooooooo
Du sijui niombe mkoloni arudi tenaaaaaa
Angalao tulikuwa na shule nzuri na hospitali nzuri.............................
pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee