Sumaye: CCM kaa chonjo

Kwa hili la Sumaye kugombea uenyekiti kanda, kaonyesha ukomavu wa hali ya kuwa yuko tayari kuwatumikia wananchi Kwa karibu zaidi. Kumbuka hata Mwl Nyerere aliwahi kujiudhulu/zulu vyeo vikubwa na kuchagua vyeo vya chini ili aweze kutumikia wananchi kwa karibu!
 
Chama kilichoshindwa kinakaria maneno ya kwenye taarabu,Magufuli hamjui sumaye vizuri,akitaka kumjua ajiulize jinsi atakavyozuia wanaccm kutoa rushwa nyakati za kura ya maoni ndani na kisha nyakati za kampeni.

Ccm ni rushwa na polisi,bila bk3 za kila mpigakura hakuna kura

Nikifikiria mihemko ya ccm nachooka kabisa,
Twendeni viwanjani mnahofu nn?
 
Haaaahaaa.. Kutoka kugombea Uraisi hadi kugombea Uenyekiti wa Chama...


Kweli ktk Maisha kuna rise and fall.... By the way Chadema mjifunze kuandaa viongozi sio kutegemea kutoka ccm


Sumaye na Lowasa wametoka CCM kutokana na hasira tu. Hasira zikiisha wanarudi CCM hao
 
Aliyewadanganya kuwa ukiwa mwanachama wa chadema ndio kujitambua ni nani??

Tangu lini Chadema imekuwa kipimo cha mtu kujitambua??

Kweli chama ambacho kinabadilisha gia angani na kuuzwa hovyo , hakina hata ofisi kwa miaka 20 ,ndio kiwe kipimo cha MTU kujielewa??

Bavicha kuna haja ya kupima bongo zenu, huenda mnamtindio wa ubongo.
 
Ulushawahi kuna WAP wazri....juu anagombania cheo cha udiwani ....dah hii njaa hatar sana...yaani from uwari ..kuu hadi kugombania ...hahahahhaaaa
 
Ulushawahi kuna WAP wazri....juu anagombania cheo cha udiwani ....dah hii njaa hatar sana...yaani from uwari ..kuu hadi kugombania ...hahahahhaaaa
Ukimaliza kushangaa pia jiulize kama ni rahisi mtu kutoka kuwa Naibu Katibu mkuu UN na kisha kwenda kuwa Balozi
 
Tangu ccm iasisiwe 1977, wananchi wake wameenelea kukabiliwa na ujinga,umaskini,magonjwa,ukosefu Wa madawati,nyumba za walimu,barabara mbovu,hakuna soko la wakulima LA uhakika,hakuna ajira"

M/ kiti mpya Wa ccm
Hivi watu hawajiongezi kuwa ccm imefeli na sera zake?
 


Wewe pia MNAFIKI MKUBWA NA UMEFILISIKA kisiasa..
yarudie maneno yako kinyume nyume ujione ulivyosheheni unafiki...
 
Lazima tuwakumbuke mafisadi papa

HATA WW UKUTE FISADI WA ELIMU UNA VYETI HALALI?? Au hukusoma shule Kama hukusoma, basi hunahaki ya kumtaja FISADI maana humjui ni nn na maana YAKE nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…