Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Kuhusu kushtushwa that is simply an understatement, Sumaye alitaka kujikojolea!
Kama unaweza kupata mkanda wa jinsi alivyokaa katika kiti unaweza kuelewa, jibaba lilikaa katika kiti kidogo lakini lilijifinyanga kwenye kona moja kama mtoto wa shule anayemsubiri mwalimu mkuu.
Hizi habari za kukataa ni porojo za fake humility ya wanasiasa tu.
Kama unaweza kupata mkanda wa jinsi alivyokaa katika kiti unaweza kuelewa, jibaba lilikaa katika kiti kidogo lakini lilijifinyanga kwenye kona moja kama mtoto wa shule anayemsubiri mwalimu mkuu.
Hizi habari za kukataa ni porojo za fake humility ya wanasiasa tu.