G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,376
- 5,262
Angekuwa mwingine angebisha yale yaluyokuwepo muda huo, kwa kuwa hujapindisha msimamo wako, kwa leo nasema ur a man of his words kuhusu maamuzi yaliyotokea.Wapi hebu uweke huo ushahidi wa mimi kubadili gia angani, hawa hawakustahili kukaribishwa Chadema hata kwa sekunde moja.. Bado naamini kwamba Chadema ilifanya makosa makubwa sana kuwakaribisha hawa watu wawili na wengine toka MACCM. Bado naamini iko siku wanaweza kabisa kurudi CCM na magwanda yao na kadi za CCM bado zimehifadhiwa vizuri majumbani mwao. Hakuna unafiki mahali popote pale.
Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Acheni na story za zamani watu kwa sasa wanataka vyeti vyeti na kujua alipo roma, Ben sanane na kujua iweje faru JOHN atumie pesa nyingi hivyo? Uchunguzi ufanyike kuna ufisadi hapo faru wawili aliyepo hai tena mzee analitia taifa gharama kumlea na faru marehemu kalitia taifa hasara kubwa.
Hizo thread zipo nenda kajadili huko.
Hii inahusu Unafiki wa Makamanda
Acha nichochee kuni. Unaitwa Uongo, Unafiki na Uzandiki uliopea. Makamanda hawajui wanapigania nini. Ni kama hawana agenda wanazosimamia.
Mnyukano. Kifo cha CCM kiko mikononi mwa Lowassa. Wanaompinga ni sawa na wanaompenda. Mkimmeza moto, mkimtema moto pia.
JK yupo vizuri. Makamanda wenyewe wanamkubali mpaka kesho.Ulikuwa humjui vizuri Jakaya Mrisho Kikwete Isasa hivi itakuwa ushamjua !
Mwishoni mwa Vita Maadui zake wote wakakumbatiana Lowassa , Mbowe na Sumaye hivyo alitumia Mlipuko mmoja tu kusambaratisha ngome ya Kaskazini!
Toe uchafu wako hapaNa permanent friends. Only permanent interests.
Hawezi kujitetea .. Nadhani atahonga hadi chadema apepetushe bendera...Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Duh! Ila kweli LOWASA MABADILIKO!!!!!!Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Kweli ...Lowassa ana nywele nyeupe lakini roho yake si nyeupe, kuweni makini watanzania!
Hiyo kazi ya utetezi hukujua itakuja kufanywa na sisi tuliomtuhumu ....Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.