Sumaye amponda Lowassa

Kumbukumbu na akiba ya maneno ni vitu muhimu katika maisha ya binadamu.
 
Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Dah! Ama kweli ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni.
Asalam aleykum BAK (in kibonde's voice).
 
Namtafuta yule alieleta hii misemo
'Kuna maisha baada ya uchaguzi'
Na ule wa 'Tuwe na akiba ya maneno'
 
Sumaye alisema CCM ikimteua Lowassa hatomuunga Mkono na atajitenga nae, Jk akafuata Ushauri wa Sumaye akamkata Lowassa cha kushangaza Baada ya kuhamia Chadema Sumaye akamfuata Lowassa na ndo akawa anazunguka nae kumuombea Kura!

Sumaye sio Mtu wa Mchezo mchezo!
 
halafu bado kuna watu wanawaamini watu wa aina hii.
 
Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Nani anafukua tena haya makaburi.
 
Sijui Lowassa atajitetea vipi na hili dongo la rushwa anazozitoa misikitini na makanisani ili Viongozi wa nyumba hizo za ibada wampigie debe la nguvu kwa waumini wao kuelekea katika uchaguzi wa 2015.
Mkuu hivi ulibadili Gia angani kumbe?
Tanzania bila unafiki haiwezekani nimeamini.
 
Wapi hebu uweke huo ushahidi wa mimi kubadili gia angani, hawa hawakustahili kukaribishwa Chadema hata kwa sekunde moja.. Bado naamini kwamba Chadema ilifanya makosa makubwa sana kuwakaribisha hawa watu wawili na wengine toka MACCM. Bado naamini iko siku wanaweza kabisa kurudi CCM na magwanda yao na kadi za CCM bado zimehifadhiwa vizuri majumbani mwao. Hakuna unafiki mahali popote pale.

Mkuu hivi ulibadili Gia angani kumbe?
Tanzania bila unafiki haiwezekani nimeamini.
 
Sina ushahidi kwakweli ili nilikuhesabu kimakosa tu kuwa nawe ni miongoni mwa wabadili gia.
Keep it up.
Endelea kusimamia unachokiamini.
 
Reactions: BAK
Shukrani Mkuu. Kwanza sikuamini kama ni kweli ilipokuja kuthibitika kuwa ni kweli nilichukia sana lakini bahati mbaya sina uwezo wa kihivyo ndani ya Chadema kuzuia maamuzi yale mabaya ambayo yaliwakera wengi sana na pia kuwashangaza. Ikitokea hawa kuamua kurudi walikotoka nitakuwa wa kwanza kufurahia sana tukio hilo.

Sina ushahidi kwakweli ili nilikuhesabu kimakosa tu kuwa nawe ni miongoni mwa wabadili gia.
Keep it up.
Endelea kusimamia unachokiamini.
 
Acheni na story za zamani watu kwa sasa wanataka vyeti vyeti na kujua alipo roma, Ben sanane na kujua iweje faru JOHN atumie pesa nyingi hivyo? Uchunguzi ufanyike kuna ufisadi hapo faru wawili aliyepo hai tena mzee analitia taifa gharama kumlea na faru marehemu kalitia taifa hasara kubwa.
 
uchonganishi
 
Hongera BAk...hpo nakupa big up mkuu, hujapindisha ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…