Huyu jamaa ni muoga wa Kushindwa, amekua PM kwa miaka Kumi, na huko kote alikuwa anapata kila anachotaka, sasa safari hii kafeli kdg tu anakuja na sababu za kipuuzi kabisa tena mbele ya waandishi wa habari.... mie nilitegemea atakuja na list of Names ndani ya CCM ambao wametumia Rushwa katika Uchaguzi wa ndani.
Ila nae ni mroho tu hana cha kusaidia wananchi wala nini.... koz nadhani hakuna Kiongozi anaemiliki Ardhi Mingi kama yeye. Kama kweli angekua anapenda wananchi angeanza na kupunguza ardhi ile kwa kugawa kwa wananchi.