Wadau nimeitwa kwa interview SUMATRA (Legal Officer) nafikiria kupotezea vipi package zake zikoje?
Kaka siku nyingine usiulize maswali kama haya, watu wanatafuta kazi hata ya fifty thousands per months ili waweze kujikwamua wewe unauliza nini? Sasa ninaamini ule msemo aliyeshiba hajui njaa. Anyway labda ungeliweka swali lako hivi.."Wadau kuna mtu yoyote anaweza kunipatia taarifa za package za sumatra? au Sumatra wana mishahara mizuri? Instead ya kusema unataka kupotezea.
Wadau nimeitwa kwa interview SUMATRA (Legal Officer) nafikiria kupotezea vipi package zake zikoje?
kwa nini uliomba?
usitubabaishe hauna uwakika wa kupata kwani umeshazoea kupachikwa na jamaa na marafiki zako wa karibu Hata hapo ulipo umewekwa na mtu
najua unatucheka na kutukebehi siye akina kajamba nani ILA ipo siku nasi tutafurahi na kucheka kama wewe
NB: HAYA MAISHA BWANA TUSICHEKANE ILA TUOMBEANE DUA
watu wengine cjui vp watu tunataka hizo interview wee unakimbia
Jamani Huyu anawazingua anaitamani hiyo kazi na keshapiga pasi mguu zake za xmas kwa ajili ya interview!
Nipatie hiyo nafasi mimi, nashida na kazi hata ya elfu hamsini.