SUMATRA wameanza kuita kwenye Usaili

SUMATRA wameanza kuita kwenye Usaili

Ni kweli mie nimepigiwa simu jana asubuhi, mie niliomba nafasi ya mtakwimu tena tunaanza na written udsm computer lab sema kama kuna mtu nae yupo aniambie jina la hiyo room pale udsm pia kama mtu ana experience ya written anipe dondoo au format maana mzigo wa takwimu una wigo mkubwa sana!
Kwa wale waliomba kazi SUMATRA walianza kupiga simu Ijumaa kwahiyo usikae mbali na simu usaili inaanza 10/06/2016, nafasi zilitangazwa mwaka Jana mwishoni.
 
jamani mie nimepigiwa jion hii kwenda kwenye interview ya road licence officer ..naomba mnipe dondoo za maswali yanayoulizwa na hawa sumatra.
 
Ukimuona mtu anawazia mshahara hata interview ajafanya uyo n failure
 
Back
Top Bottom