SUMATRA wameanza kuita kwenye Usaili

SUMATRA wameanza kuita kwenye Usaili

ruhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
5,035
Reaction score
8,075
Kwa wale waliomba kazi SUMATRA walianza kupiga simu Ijumaa kwahiyo usikae mbali na simu usaili inaanza 10/06/2016, nafasi zilitangazwa mwaka Jana mwishoni.
 
Kwa nafasi zipi mkuu? Mi niliomba communication officer
 
Mimi wameniita Stock Rolling
 
another man down.niliomba licence officer ila ka naona sijaitwa mpaka leo.
 
Kwa wale waliomba kazi SUMATRA walianza kupiga simu Ijumaa kwahiyo usikae mbali na simu usaili inaanza 10/06/2016, nafasi zilitangazwa mwaka Jana mwishoni.
Mkuu vip wameita watu wote au kwa nafasi ulio iomba ww,?
 
Kwa wale waliomba kazi SUMATRA walianza kupiga simu Ijumaa kwahiyo usikae mbali na simu usaili inaanza 10/06/2016, nafasi zilitangazwa mwaka Jana mwishoni.
VP zile za mwisho za Sumatra za tar 27/5/16 wameshaitwa ktk usaili
 
Back
Top Bottom