SUMATRA tafadhali angalieni hili,otherwise wananchi wataiona serikali ni mbaya kwao

Boeing

Senior Member
Apr 16, 2017
151
421
Kufuatia kuondolewa kwa road licence na badala yake wenye magari kutakiwa kuilipia kupitia mafuta kumekuwa na rumours kwamba hawa watu wanataka wapandishe nauli kinyemela.

ifahamike ya kwamba kilichofanyika ni kutaka ile hela waliyokuwa wakilipa at once ilipwe taratiibu kupitia mafuta wanayojaza.

usije ukawa ni uchochoro wa watu kupigia hela kwa kupandisha nauli kiholela na kuwafanya wananchi kuona serikali kupitia mh Rais Magufuli hawana nia njema na hilo

Nasema hivi kwa sababu kumekuwa na tendency kila kukitokea charge kidogo let say ushuru umeongezeka kwa let say 5000 nauli inaongezwa kwa 2000@head kitu ambacho hakina uwiano. imefika mahali distance na nauli haviendani.

Naomba kuwasilisha
 
Kufuatia kuondolewa kwa road licence na badala yake wenye magari kutakiwa kuilipia kupitia mafuta kumekuwa na rumours kwamba hawa watu wanataka wapandishe nauli kinyemela.

ifahamike ya kwamba kilichofanyika ni kutaka ile hela waliyokuwa wakilipa at once ilipwe taratiibu kupitia mafuta wanayojaza.

usije ukawa ni uchochoro wa watu kupigia hela kwa kupandisha nauli kiholela na kuwafanya wananchi kuona serikali kupitia mh Rais Magufuli hawana nia njema na hilo

Nasema hivi kwa sababu kumekuwa na tendency kila kukitokea charge kidogo let say ushuru umeongezeka kwa let say 5000 nauli inaongezwa kwa 2000@head kitu ambacho hakina uwiano. imefika mahali distance na nauli haviendani.

Naomba kuwasilisha
nadhani uko sahihi. kilichofanywa ni kulipa huo ushuru in bits!
 
Hapa tunataka Sumatra wawe very proactive sio wasubiri nauli zipande ndio watoke maofisini kwao na matamko wakati hali sasa ya fedha hakuna
 
Katika ofisi ambazo Takukuru inabidi waweke radar zao ni Sumatra. Kuna touts wengi sana pale ni kama kitengo cha madalali. Kila unachohitaji pale lina bei yake nje ya ofisi
 
Kufuatia kuondolewa kwa road licence na badala yake wenye magari kutakiwa kuilipia kupitia mafuta kumekuwa na rumours kwamba hawa watu wanataka wapandishe nauli kinyemela
Hebu rekebisha! Sio "wenye magari kutakiwa kulipia kupitia mafuta" bali tuzo hiyo kuhamishiwa kwenye mafuta!!!

Hata wewe usie na gari utalipia!!!!

Kama una mashine yako ndogo ya kumwagilia hivi sasa utalipia!!! Haijalishi kama una gari au hapana. What matters ni kama utahitaji mafuta na ndio maana hiyo tuzo ipo hadi kwenye mafuta ya taa ambayo, kwa uelewa wangu hakuna gari inayotumia mafuta ya taa!!!!
 
Hapa tunataka Sumatra wawe very proactive sio wasubiri nauli zipande ndio watoke maofisini kwao na matamko wakati hali sasa ya fedha hakuna


Sumatra ifumuliwe tu, sioni wanachofanya, imagine wameweka namba za simu kwenye mabango ya gharama sana ati abiria wawapigie pale wanapopata shida, cha kushangaza hizo simu hazipokelewi kamwe, ukienda ofisini kwao ukawaambia hawapokei simu wanasema wapo field
 
Back
Top Bottom