Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,295
- 32,345
Naomba kuwauliza swali, mnapoingia kwenye mabasi na kufanya ukaguzi huwa mpo serious au mnafanya maonyesho tu!
Picha hii hapa ni ya moja ya viti vya bus la Nyehunge kutoka Mwanza - Morogoro
Vngi ya viti vimenyofoka na mingi ya mikanda ya usalama nayo ni kama inavyoonekana
Picha hii hapa ni ya moja ya viti vya bus la Nyehunge kutoka Mwanza - Morogoro
Vngi ya viti vimenyofoka na mingi ya mikanda ya usalama nayo ni kama inavyoonekana