BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
Itabidi ukienda kukata tiketi unaomba ukae na dada pembeni.Lazima atakulalia tuu ikifika saa9 usiku au unatoa offer ya kwenda kulala gesti ili alfajiri mrudi kuendelea na safari.Madhara ni makubwa kuliko faida hao sumatra Wameshindwa kuzuia bodaboda zinazoua kila sekunde sababu ya wanasiasahapa wanaongeza maabukizi ya ugonjwa wa ukimwi