Wa nyamadyaki
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,178
- 529
SUMATRA imeanza kutoa ratiba mpya za mabasi ambapo ruti za mbali mf. Mwanza na Mbeya mabasi yatatakiwa kulala njiani na kuingia asubuhi kesho yake kama inavyonekana kwenye ratiba hapa chini.
Hatua hii inakuja ili kuthibiti mabasi kutembea usiku na kuingia mf, Mbeya saa nane usiku, kisha saa 12 asubuhi basi linageuza kurudi Mwanza.
Yapi maoni yako kuhusu hatua hii mpya?
Hatua hii inakuja ili kuthibiti mabasi kutembea usiku na kuingia mf, Mbeya saa nane usiku, kisha saa 12 asubuhi basi linageuza kurudi Mwanza.
Yapi maoni yako kuhusu hatua hii mpya?