Kiongozi huu usafiri ungekuwepo na basi za binafsi ziendelee kuwepo kwani huu usafiri wa mwendo kasi sio tena mwendo kasi ni mwendo mateso .kwanza uendeshaji mbovu kituoni abiria utakaa hata masaa mawili ukisubiria gari na ukiipata mnakaa kama ng,ombe jasho hewa nzito yani ni balaa hii sio haki tunapelekwa wapi sasa maana sielewi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app