Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 705
- 1,369
SUMATRA haya mateso tunayofanyiwa na hawa Udart sijui kama nyie yanawakuta moja kwa moja. Tafadharini mngerejesha tu njia zilizoathiliwa na usafiri huu mpaka hawa Udart watakapojirekebisha. Maana sasa ni mateso na sio usafiri sahihi kwa sasa!View attachment 1044663
Sent using Jamii Forums mobile app
100% uko sahihi......Siyo mateso tu bali ni Adhabu kama ya kaburini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wakipeleka mbagala rangi 3 si ndio itakua mshipa kabisa mana mbagala mtiti wake stori ingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu hasira. Ni kweli unateseka ila, tuliza munkari eleza haja yako na utoa ushauri ni nini kifanyike. Kweli wote hao wanaona ila suluhu haiji mara ghafula. Suluhu ipo. Namuamini saana mkuu wamkoa. Lakini, kwa nini wasiyakametw baadhi ya mabasi makubwa yakawa yanafanyia njia hiyo kza wakati ule wa rush hours??Nashindwa kuelewa, hivi mkuu wa mkoa haoni kuwa kuna tatizo, waziri wa uchukuzi haoni kuwa ipo shida, waziri mkuu je, haoni wananchi wanaumia? Mheshimiwa kabisa alienda kufanya ufunguzi wa huu mradi, sababu za kwenda kufungua mradi ambao hauna usimamizi ni nini?
Nchi imejaa wapumbavu hii kupita maelezo.
Unamuuliza naniAcha tu hasira. Ni kweli unateseka ila, tuliza munkari eleza haja yako na utoa ushauri ni nini kifanyike. Kweli wote hao wanaona ila suluhu haiji mara ghafula. Suluhu ipo. Namuamini saana mkuu wamkoa. Lakini, kwa nini wasiyakametw baadhi ya mabasi makubwa yakawa yanafanyia njia hiyo kza wakati ule wa rush hours??
Silizi bali natoa wazo kwa hao wakuu mnaotaka kuwalaumuUnamuuliza nani
Mimi natamani sana niwepo na kuona SGR itakavyofanya kazi mkuu, ni aibu kubwa mradi umechukua billions of money lakini hauna tija yoyote kwa wananchi, hauna ile thamani inayoonekana kwa macho.Kwenye miradi kama hiyo ndio unapopata haswaa majibu ya uwezo wa kufikiri. wa kuendesha miradi na kutatua changamoto za wananchi ambao viongozi wetu wanao .....
Mradi mdogo tu kama huo kama unawatoa kamasi ndio wateweza kuendesha miradi mikubwa ya gesi na ule wa umeme wa striglers gorge ambao wanaupigia makelele kuwa wanataka kuuanzisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha subiri mkuu " huo mradi ukikamilika kwa Style hiyo ya UDART ..jiandae kuona mazingaombwe .....yaani itakuwa ukitaka kucheka una kwenda kuutizama huo mradi jinsi unavyo operated tu itakuwa ni kichekesho toshaMimi natamani sana niwepo na kuona SGR itakavyofanya kazi mkuu, ni aibu kubwa mradi umechukua billions of money lakini hauna tija yoyote kwa wananchi, hauna ile thamani inayoonekana kwa macho.
Faiza foxy alileta Uzi hapa majuzi, cha ajabu kuna wapuuzi Fulani wakawa wanawatete hao udart , nikajiuliza hawa watetezi wana akili timamu kweli ?