Suluhu ya kufanya Simba icheze kwa mkapa

Suluhu ya kufanya Simba icheze kwa mkapa

Bigfat

Member
Joined
Dec 8, 2022
Posts
9
Reaction score
12
Kumekuwa na taharuki kuwa mchezo wa awamu ya pili utapigwa Zanzibar lakini sisi kama taifa tunaweza kufanya hivi ili hii Ngoma ipigwe kwa mkapa

kwamba eneo la uwanja wa Amani, hasa sehemu ya pitch, lifanyiwe marekebisho ya muda ili lisiwe tayari kwa matumizi.

Hii itatupa fursa ya kucheza mechi yetu kwenye Uwanja wa Mkapa. Tuko tayari kugharamia maboresho yoyote yatakayohitajika baada ya hapo, ili kuhakikisha uwanja wa Amani unarudi katika hali yake bora.

Wadau hii mbinu mnaionaje
 
😂 mnateseka bure wenye mamlaka wameshasema Amaan tulizeni mibichwa!
 
Juzi juzi MwanaFA alinukuliwa akisema sababu ya mechi ya nusu fainali ya Simba vs Stellenbosch kupelekwa Zanzibar ilitokana na ombi la serikali ya Zanzibar kuomba mechi ipelekwe kule.

Kwa nini hamfikiri hata hili la fainali linatokana na ombi kama hilo?
 
Kumekuwa na taharuki kuwa mchezo wa awamu ya pili utapigwa Zanzibar lakini sisi kama taifa tunaweza kufanya hivi ili hii Ngoma ipigwe kwa mkapa

kwamba eneo la uwanja wa Amani, hasa sehemu ya pitch, lifanyiwe marekebisho ya muda ili lisiwe tayari kwa matumizi.

Hii itatupa fursa ya kucheza mechi yetu kwenye Uwanja wa Mkapa. Tuko tayari kugharamia maboresho yoyote yatakayohitajika baada ya hapo, ili kuhakikisha uwanja wa Amani unarudi katika hali yake bora.

Wadau hii mbinu mnaionaje
Kilaza wa nani wewe?
 
Simba kuna watu wajinga haijawahi kutokea Duniani!! Je mechi ingekuwa ni moja ambayo ingepigwa neutral ground? Msingepeleka timu? Au mngemwambia mguto ahailishe mechi?.
Ni aibu JAYANTIII LA AFRIKA KULIALIA KISA UWANJA. 😂
 
Kumekuwa na taharuki kuwa mchezo wa awamu ya pili utapigwa Zanzibar lakini sisi kama taifa tunaweza kufanya hivi ili hii Ngoma ipigwe kwa mkapa

kwamba eneo la uwanja wa Amani, hasa sehemu ya pitch, lifanyiwe marekebisho ya muda ili lisiwe tayari kwa matumizi.

Hii itatupa fursa ya kucheza mechi yetu kwenye Uwanja wa Mkapa. Tuko tayari kugharamia maboresho yoyote yatakayohitajika baada ya hapo, ili kuhakikisha uwanja wa Amani unarudi katika hali yake bora.

Wadau hii mbinu mnaionaje
Mimi naona hapo mbinu nzuri nadhani ni ile ya kususa tu. Simba isiposusa kucheza hiyo mechi, aisee itaenda kuliaibisha Taifa.
 
Ulikiweka kando 🎶🎶🎶Sasa kiwasheeeee🗣️🗣️🗣️🎶🎶🎶game ni amani stadium nyie si mlibadili manager
Mnataka barkane wateleze wachomwe na mapembe ya mbuzi
 
Haya ni mawazo ya hovyo sana.
1. CAF mpaka wameelekeza matumizi ya uwanja wa AMAAN tayari wameshaukagua, wameshawasilana na mamlaka za Zanzibar, na kujiridhisha kuwa uko vizuri kwaajili ya mchezo husika. Sasa hoja ya "kuna matengenezo yanaendelea" inatokea wapi?
2. kama hoja hii kituko tu-assume imefanikiwa, CAF hawatarudi tena kwenye uwanja mbovu wa Mkapa, badala yake Simba itaambiwa itafute uwanja nje ya Tanzania
Mwisho ila si kwa Umuhimu, CAF sio sawa na Bodi ya Ligi ya Mzee Mguto mnayoipangia kila mnachotaka
 
Kumekuwa na taharuki kuwa mchezo wa awamu ya pili utapigwa Zanzibar lakini sisi kama taifa tunaweza kufanya hivi ili hii Ngoma ipigwe kwa mkapa

kwamba eneo la uwanja wa Amani, hasa sehemu ya pitch, lifanyiwe marekebisho ya muda ili lisiwe tayari kwa matumizi.

Hii itatupa fursa ya kucheza mechi yetu kwenye Uwanja wa Mkapa. Tuko tayari kugharamia maboresho yoyote yatakayohitajika baada ya hapo, ili kuhakikisha uwanja wa Amani unarudi katika hali yake bora.

Wadau hii mbinu mnaionaje
Mechi itahanishiwa Zambia
 
Kumekuwa na taharuki kuwa mchezo wa awamu ya pili utapigwa Zanzibar lakini sisi kama taifa tunaweza kufanya hivi ili hii Ngoma ipigwe kwa mkapa

kwamba eneo la uwanja wa Amani, hasa sehemu ya pitch, lifanyiwe marekebisho ya muda ili lisiwe tayari kwa matumizi.

Hii itatupa fursa ya kucheza mechi yetu kwenye Uwanja wa Mkapa. Tuko tayari kugharamia maboresho yoyote yatakayohitajika baada ya hapo, ili kuhakikisha uwanja wa Amani unarudi katika hali yake bora.

Wadau hii mbinu mnaionaje
Suluhu ni mheshimiwa rais daktari profesa Samia Suluhu Hassan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom