Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Mkuu daniel lufumbula asante kwa swali zuri.

Kinachomaanishwa kwenye hili swala ni kwamba ili mwanamke aweze kulifurahia tendo anahitaji maandalizi mazuri hata kabla ya kukutana kwenu. unaweza ukawa unachati naye ukawa unajaribu kumuonesha unavyomfurahia na unavyotamani kumfurahisha kwa namna na vionjo mbali mbali lengo likiwa kumfanya awe kati ile hali ya kutamani kukutana na wewe tena mapema zaidi katika akili yake. Na mkiwa kwenye eneo la tukio utumie muda wa kutosha kuendelea kumuweka sawa kimwili na kiakili (kumuandaa). Wanawake wako tofauti sana na sisi na ndio maana sisi ndio tunaoonekana kuwa na tamaa (desperate) zaidi yao kwa sababu tupo tayari muda wowote na tunaweza tukawa tunatamani muda wowote ila hawa ndugu zetu ni hadi uwe unajua kumpatia ndio naye anaweza kuwa anakutamani muda wote. (Unatikiwa uweze kumpandisha hisia zake kuelekea hapo) hata kabla ya kumgusa kwa chochote. Wanakua turned on kwa vitu vidogo dogo sana.

Kwa kuwa sisi tupo tayari muda wote kufikia mshindo, utayari wetu na mawazo yetu yanatufanya tuwe na ashki sana kufanya lile tendo, na wakati huo huo mzunguko wa damu kuongezeka (presha) kiasi tunakua na mihemko sana inayopelekea hata tusiwaze vizuri wakati huo. Ninaposema kuondoa akili hapo ni pamoja na kuweza kukontrol upumuaji wako (ubaki kuwa kawaida -kuhema kutokea tumboni kwa kuvuta na na kutoa pumzi ya kutosha ndefu ndefu -sio fupi fupi), Uwaze vitu vingine/mambo mengine hata mabaya ikibidi wakati ukiendelea na tendo n.k.... haya na mengineyo ni katika kujitahidi kujiondoa kwenye ile mihemko inayofanya hata upumuaji wako kuwa wa haraka sana na katika rate tofauti na kawaida.... ukiwa katika hii mihemko utamaliza haraka sana kwa kuwa level ya concetration itakuwa kubwa saaan ila ukiwa kawaida utachukua muda zaidi kabla ya kufika kileleni. Kuchelewa kunasaidia sana kumpa raha zaidi na vionjo zaidi mpenzio.

Usipoweza kumfanya mwanamke aweke akili yake hapo, ni ngumu sana kwako na kwa yeye kulifurahia tendo. Naamini nimejibu, kama una swali zaidi karibu au wakuu hapa wakiona sehemu ya kufafanua au kuongezea zaidi watakuja.

Karibu.

Umesema kuwa usiweke sana akili hapo bali,mke ndo umweke akili yake pale je? Utawezaje kumweka hapo halafu ww umapotezea? Unaweza ukanpa mfano,samahan
 
Hahahahaha lol!!!! Ulisahau kupita katika ile dept kule kwa Muumba wetu ambayo hugawa tabia za kununanuna :):) sasa inakula kwako lol!!! Aisee niko poa kabisa namshukuru Muumba wetu mwaka huu pia umekuwa mzuri sana kwangu naomba ni hizi siku chache zilizobaki ziishe salama na maandalizi ya Xmas na mwaka mpya ndiyo yanaendelea kwa kasi. Nategemea nawe umzima ukiendelea vizuri na maandalizi ya Xmas na mwaka mpya, kila la heri na baraka katika maandalizi yako.

Nafurahi kusikia u mzima,na pia nafurahi kusikia huu mwaka umekuwa mwema kwako Mungu azidi kukuneemesha,nawe pia uwe na maandalizi mema ya mwaka mpya na Christmas.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kaka Mkubwa huyu everlenk ni shemeji yangu hawezi ninunia. Patachimika akinuna. hahahaaaaa.
Hahahaha!! Haya wewe jitape hapa tutakutana kuleee labda usipande....
Kumbe alikuwa ananizuga tu mie "nakununia wewe tu sijui kwanini" lol!!! Hahahahaha sasa ukweli nimeujua :):) Thanks Bro Tized for sharing this info.

Huyu ni shemeji shemeji wazima taa......Lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaa..napanda.... hamna kitu wala sizimi taa wala nini nini. :becky: BAK usimsikilize shemeji apa.
Hahahaha!! Haya wewe jitape hapa tutakutana kuleee labda usipande....
Huyu ni shemeji shemeji wazima taa......Lol
 
Last edited by a moderator:
USHAURI: SIKU YA GAME NA KICHENCHEDE CHAKO HAKIKISHA UKIAMKA ASUBUHI USILE KITU CHOCHOTE MPAKA MUDA WA GAME UFIKE NA NDIO UPIGE GAME YAKO NA UKIMALIZA MCHAKATO TU KUNYWA MAJI GLASI. NAWA USO RUDI KWA NYUMBA KUBWA YAKO OMBA GAME NYINGINE TENA.:sleepy:
 
Asante sana kwa mchango wako mkuu MWALLA. Una point ya msingi sana ila nahofia kama mtu ana gemu usiku halafu siku nzima asile chochote toka asubuhi si atakua weak sana mkuu?

Mkuu MziziMkavu amewahi kulizungumzia hili, akashauri mtu ale chakula cha mwisho masaa sita Kabla ya gemu. Kwamba mtu akifanya hivyo anakuwa na nguvu nyingi zaidi za KIUME unlike nguvu za kawaida. Unaizungumziaje hii kwa upande wako MWALLA.

Asante sana.

USHAURI: SIKU YA GAME NA KICHENCHEDE CHAKO HAKIKISHA UKIAMKA ASUBUHI USILE KITU CHOCHOTE MPAKA MUDA WA GAME UFIKE NA NDIO UPIGE GAME YAKO NA UKIMALIZA MCHAKATO TU KUNYWA MAJI GLASI. NAWA USO RUDI KWA NYUMBA KUBWA YAKO OMBA GAME NYINGINE TENA.:sleepy:
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kwa mchango wako mkuu MWALLA. Una point ya msingi sana ila nahofia kama mtu ana gemu usiku halafu siku nzima asile chochote toka asubuhi si atakua weak sana mkuu?

Mkuu MziziMkavu amewahi kulizungumzia hili, akashauri mtu ale chakula cha mwisho masaa sita Kabla ya gemu. Kwamba mtu akifanya hivyo anakuwa na nguvu nyingi zaidi za KIUME unlike nguvu za kawaida. Unaizungumziaje hii kwa upande wako MWALLA.

Asante sana.
[/QUOTe
Nimefanya haya Kwa uzoefu
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kwa mchango wako mkuu MWALLA. Una point ya msingi sana ila nahofia kama mtu ana gemu usiku halafu siku nzima asile chochote toka asubuhi si atakua weak sana mkuu?

Mkuu MziziMkavu amewahi kulizungumzia hili, akashauri mtu ale chakula cha mwisho masaa sita Kabla ya gemu. Kwamba mtu akifanya hivyo anakuwa na nguvu nyingi zaidi za KIUME unlike nguvu za kawaida. Unaizungumziaje hii kwa upande wako MWALLA.

Asante sana.
[/QUOTe
Nimefanya haya Kwa uzoefu
Unakuwa unakula tumbo limeshiba kisha ndio ukafanya hiyo Gemu ya mechi yako kwanza utakuwa hukawi kumwaga mapema na hutakuwa na nguvu za kiume lakaini unapokuwa hujala wala huna njaa kwa mfano umekula asubuhi chakula na ukataka kuafanya mapenzi jioni basi itakuwa vizuri upitishe masaa 6 bila ya kula chakula kizito unaweza kunywa matunda au kahawa au chokoleti lakini sio chakula cha wewe kukufanya ushibe sana hut6oweza kufanya vizuri tendo lako la ndoa. utakuwa unamaliza wewe kumwaga wakati mpenzi wako hajamaliza. Mkuu MWALLA
 
Last edited by a moderator:
Pia kuepuka kuwachungulia mapajani mabinti wanaovaa vibaya kwani bnafsi hali kama hiyo inatufanya tuwe na hisia kali mahali ambapo si sahihi na mda huo huwezi utoshereza mwili zaidi ya kujipa maumivu nauuchosha uume
 
Kuna aina 2 ya vyakula ambavyo vimefanyiwa utafiti na
kubaini kuwa ni moja ya vyakula vinavyosaidia kuongeza
nguvu za kiume na havina madhara katika engezeko la
nguvu za kiume, katika vyakula hivyo vyenye uwezo wa
kuongeza nguvu za kiume kiasili ni:
1. TANGAWIZI
- Tangawizi ni moja ya chakula kinachoweza kurejesha
nguvu za kiume, unaweza kuichemsha tangawizi na
ukatumia kwa kuinywa kama chai Asubuhi, mchana na
jioni pia Tangawizi unaweza ukaitumia katika
mchanganyiko wa kiasili kwa kutumia habat
soda,asali,kitunguu saumu na tangawizi yenyewe. JINSI
YA KUTUMIA MCHANGANYIKO HUU: Chukua tangawizi na
kitunguu saumu vitwange kisha vichanganye na asali
pamoja na unga wa habat soda na uwe unakunywa
mchanganyiko huu kwa kutumia kijiko cha chai kimoja
kutwa mara 3 kwa muda wa wiki moja na utaona
mabadiliko.
2. TIKITI MAJI:
-Chakula kingine kinachosaidia katika upande wa
kuongeza nguvu za kiume ni tunda la Tikiti Maji, unaweza
ukachukua tikiti lako ukalikata na kutengeneza juice ya
Tikiti kisha unakunywa ila sio lazima utengeneze Juice
hata lenyewe tu unaweza ukalila. Ila jitahidi kutumia
tunda hili hata kila siku kwani linasaidia sana kwa wenye
matatizo ya nguvu za kiume.
 
Kuna aina 2 ya vyakula ambavyo vimefanyiwa utafiti na
kubaini kuwa ni moja ya vyakula vinavyosaidia kuongeza
nguvu za kiume na havina madhara katika engezeko la
nguvu za kiume, katika vyakula hivyo vyenye uwezo wa
kuongeza nguvu za kiume kiasili ni:
1. TANGAWIZI
- Tangawizi ni moja ya chakula kinachoweza kurejesha
nguvu za kiume, unaweza kuichemsha tangawizi na
ukatumia kwa kuinywa kama chai Asubuhi, mchana na
jioni pia Tangawizi unaweza ukaitumia katika
mchanganyiko wa kiasili kwa kutumia habat
soda,asali,kitunguu saumu na tangawizi yenyewe. JINSI
YA KUTUMIA MCHANGANYIKO HUU: Chukua tangawizi na
kitunguu saumu vitwange kisha vichanganye na asali
pamoja na unga wa habat soda na uwe unakunywa
mchanganyiko huu kwa kutumia kijiko cha chai kimoja
kutwa mara 3 kwa muda wa wiki moja na utaona
mabadiliko.
2. TIKITI MAJI:
-Chakula kingine kinachosaidia katika upande wa
kuongeza nguvu za kiume ni tunda la Tikiti Maji, unaweza
ukachukua tikiti lako ukalikata na kutengeneza juice ya
Tikiti kisha unakunywa ila sio lazima utengeneze Juice
hata lenyewe tu unaweza ukalila. Ila jitahidi kutumia
tunda hili hata kila siku kwani linasaidia sana kwa wenye
matatizo ya nguvu za kiume.

Cc Tized
 
Last edited by a moderator:
Asante sana kipenzi changu kwa taarifa. Natumai note book yako sasa inakaribia kujaa. I like that.

Hahahaha!! Acha tu upele umempata mwenye ukucha.Christmass hii isikosekane chai ya tangawizi,loh matikiti yawepo kwa wingi sana....
 
Havitakosekana shemeji yangu.... Hahahhaaaa huo ukucha tena una MSASA ndani yeke. hahahaha.. Enjoy!!!!
Hahahaha!! Acha tu upele umempata mwenye ukucha.Christmass hii isikosekane chai ya tangawizi,loh matikiti yawepo kwa wingi sana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom