Suluhisho la Udhaifu wa kiingereza cha Magufuli ni "Assah Andrew Mwambene"

Kule Kwetu

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
3,157
1,894
Habarini Wadau,

Leo hii kumetokea Mabadiliko katika nafasi za uongozi ambapo Bi Zamaradi Kawawa (ambaye ni mdogo wa damu wa Zainabu Kawawa aliyekuwa Mbunge wa kuteuliwa CCM) amebadilishiwa kitengo na kufanywa kuwa Kaimu Mkurugenzi idara ya habari-Maelezo.

Wakati huo huo Prof. Elisante Ole Gabriel amemteua Assah Andrew Mwambene kuwa katika wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Bila shaka wenye akili kubwa na uelewa mpana na zaidi wanaomjua Assah watajua kuwa Mkuu Magu ndio kapendekeza apelekwe huko ili akazungumze kile kiingereza chake kizuri ili kumwakilisha Rais. Assah ni mzuri sana katika speeches na hapa Mkuu ameondoa AIBU KUBWA SANA iliyokuwa ikimkabili.

ANGALIZO: Isije tu kutokea kwamba Mkuu anawakilishwa kiila mara kwenye vikao vyote,mikutano,warsha na hata tu pale anapopaswa kuelezea uzima au afya yake.

HONGERA ELISANTE OLE GABRIEL KUONDOA AIBU HII KWA MKUU.
 
Siku hizi ujinga umekuwa werevu!

Mtu asiyejua kama mjinga hawezi hata kujifunza au kuelimishwa!

Elimu yetu inatoa vijana wenye uelewa nusu nusu katika masuala yote halafu vijana wanaamini katika vyeti vyao kama wameelimika!

Taifa letu linaelekea pabaya sana!

The trouble with the world (Tanzania) is that the stupid are cocksure and the intelligent are full of doubt-Bertrand Russell
 
Habarini Wadau,

Leo hii kumetokea Mabadiliko katika nafasi za uongozi ambapo Bi Zamaradi Kawawa (ambaye ni mdogo wa damu wa Zainabu Kawawa aliyekuwa Mbunge wa kuteuliwa CCM) amebadilishiwa kitengo na kufanywa kuwa Kaimu Mkurugenzi idara ya habari-Maelezo.

Wakati huo huo Prof. Elisante Ole Gabriel amemteua Assah Andrew Mwambene kuwa katika wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Bila shaka wenye akili kubwa na uelewa mpana na zaidi wanaomjua Assah watajua kuwa Mkuu Magu ndio kapendekeza apelekwe huko ili akazungumze kile kiingereza chake kizuri ili kumwakilisha Rais. Assah ni mzuri sana katika speeches na hapa Mkuu ameondoa AIBU KUBWA SANA iliyokuwa ikimkabili.

ANGALIZO: Isije tu kutokea kwamba Mkuu anawakilishwa kiila mara kwenye vikao vyote,mikutano,warsha na hata tu pale anapopaswa kuelezea uzima au afya yake.

HONGERA ELISANTE OLE GABRIEL KUONDOA AIBU HII KWA MKUU.
Prof Elisante atamteuaje Assah foreign affairs? Kwa mamlaka gani aliyo nayo? acha kuropoka!
 
Habarini Wadau,

Leo hii kumetokea Mabadiliko katika nafasi za uongozi ambapo Bi Zamaradi Kawawa (ambaye ni mdogo wa damu wa Zainabu Kawawa aliyekuwa Mbunge wa kuteuliwa CCM) amebadilishiwa kitengo na kufanywa kuwa Kaimu Mkurugenzi idara ya habari-Maelezo.

Wakati huo huo Prof. Elisante Ole Gabriel amemteua Assah Andrew Mwambene kuwa katika wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Bila shaka wenye akili kubwa na uelewa mpana na zaidi wanaomjua Assah watajua kuwa Mkuu Magu ndio kapendekeza apelekwe huko ili akazungumze kile kiingereza chake kizuri ili kumwakilisha Rais. Assah ni mzuri sana katika speeches na hapa Mkuu ameondoa AIBU KUBWA SANA iliyokuwa ikimkabili.

ANGALIZO: Isije tu kutokea kwamba Mkuu anawakilishwa kiila mara kwenye vikao vyote,mikutano,warsha na hata tu pale anapopaswa kuelezea uzima au afya yake.

HONGERA ELISANTE OLE GABRIEL KUONDOA AIBU HII KWA MKUU.
Fikra Potofu. Kakurugenzi kamwakilishe President? Ifahamu protokali kwanza
 
Aliyejiaibisha ni Mkulu....holding the highest position then kiingereza hakijui.
 
Habarini Wadau,

Leo hii kumetokea Mabadiliko katika nafasi za uongozi ambapo Bi Zamaradi Kawawa (ambaye ni mdogo wa damu wa Zainabu Kawawa aliyekuwa Mbunge wa kuteuliwa CCM) amebadilishiwa kitengo na kufanywa kuwa Kaimu Mkurugenzi idara ya habari-Maelezo.

Wakati huo huo Prof. Elisante Ole Gabriel amemteua Assah Andrew Mwambene kuwa katika wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Bila shaka wenye akili kubwa na uelewa mpana na zaidi wanaomjua Assah watajua kuwa Mkuu Magu ndio kapendekeza apelekwe huko ili akazungumze kile kiingereza chake kizuri ili kumwakilisha Rais. Assah ni mzuri sana katika speeches na hapa Mkuu ameondoa AIBU KUBWA SANA iliyokuwa ikimkabili.

ANGALIZO: Isije tu kutokea kwamba Mkuu anawakilishwa kiila mara kwenye vikao vyote,mikutano,warsha na hata tu pale anapopaswa kuelezea uzima au afya yake.

HONGERA ELISANTE OLE GABRIEL KUONDOA AIBU HII KWA MKUU.
Huo ni uongo wa asbuh kweupe acha kukurupuka wewe.
 
Aliyejiaibisha ni Mkulu....holding the highest position then kiingereza hakijui.
Kujua kiingerea siyo sifa! Halafu mods iweni wazalendo, mada zinazolenga kumwaibisha Rais wetu fanyeni utaratibu wa kuwa zinaondolewa haraka iwezekanavyo na mhusika kula ban ya maisha kwa ID zake zote!
Mungu ametupa Rais mzuri kama jibu la maombi na kilio cha watanzania halafu anatokea mnufaika wa ufisadi na hasira zake za kitumbuliwa majipu anaanza kumdhalilisha kiongozi wetu MKUU haikubaliki kabisa!
Halafu watu wengine wanashabikia tu vitu vya kijinga bila kujua vina lengo la kumkatisha tamaa kiongozi wetu asiendelee kutumbua majipu! Baba Magufuli usikate tamaa! Kuna watu wanavaa nguo za kijani lakini wana hasira Kali maana hata huko kwenye ukijani majipu yapo lundo! Acha yatumbuliwe tu! Hivi unadhani songo mbingo inayoendelea kwenye umeya wa jiji la Dar ni nini kama siyo kunusuru majipu ya kufa MTU kwenye huo ukijani?
Hata kwenye ubluu majipu yapo tusidanganyane! Ngoja ruzuku ya vyama vya siasa ifuatiliwe mpaka SHILINGI ya mwisho tuone kama kwenye "PIPOOOOS" kuko salama!
Majipu hayana itikadi! Magufuli yatumbue yote!! Kejeli kama hizi zidharau tu na songa mbele!
 
Kujua kiingerea siyo sifa! Halafu mods iweni wazalendo, mada zinazolenga kumwaibisha Rais wetu fanyeni utaratibu wa kuwa zinaondolewa haraka iwezekanavyo na mhusika kula ban ya maisha kwa ID zake zote!
Mungu ametupa Rais mzuri kama jibu la maombi na kilio cha watanzania halafu anatokea mnufaika wa ufisadi na hasira zake za kitumbuliwa majipu anaanza kumdhalilisha kiongozi wetu MKUU haikubaliki kabisa!
Halafu watu wengine wanashabikia tu vitu vya kijinga bila kujua vina lengo la kumkatisha tamaa kiongozi wetu asiendelee kutumbua majipu! Baba Magufuli usikate tamaa! Kuna watu wanavaa nguo za kijani lakini wana hasira Kali maana hata huko kwenye ukijani majipu yapo lundo! Acha yatumbuliwe tu! Hivi unadhani songo mbingo inayoendelea kwenye umeya wa jiji la Dar ni nini kama siyo kunusuru majipu ya kufa MTU kwenye huo ukijani?
Hata kwenye ubluu majipu yapo tusidanganyane! Ngoja ruzuku ya vyama vya siasa ifuatiliwe mpaka SHILINGI ya mwisho tuone kama kwenye "PIPOOOOS" kuko salama!
Majipu hayana itikadi! Magufuli yatumbue yote!! Kejeli kama hizi zidharau tu na songa mbele!
Unafikiri Moderators wana akili za hovyo kama zako? Ni wapi nimetumia lugha ya matusi au isiyo na staha?
 
Unafikiri Moderators wana akili za hovyo kama zako? Ni wapi nimetumia lugha ya matusi au isiyo na staha?
Yaani kwa akili yako ya kifisadi kusema unashangaa MTU kupata nafasi ya juu huku kwa tathmini yako hajui kiingereza ni kumstahi rais au?
Kwa maneno mengine unasema hakustahili kuwa rais kwa kuwa tu unadai hajui kiingereza!
Yaani umelelewa kwa kukosa adabu na hali hiyo umeizoea kiasi kwamba hauoni kama kuna hitilafu yotote!
Hivi wakikukomalia kwa sheria ya makosa ya mtandao kuwa umemdhalilisha rais kwa kauli hiyo utachomoka?
Nakushauri uombe radhi na ufute post yako mwenyewe, vinginevyo MAJUTO ni mjukuu!
 
Watu ni wasahaulifu sana, ngoja niwakumbushe, hivi alivyokuja rais WA China alizungumuza luga gani? Heko magu kwa kuwa mtz hakisi tusikubali kubinafusisha taifa. Big up Magufuli, wanaiponda kingereza chako shauri yaoooooo!
 
Watu ni wasahaulifu sana, ngoja niwakumbushe, hivi alivyokuja rais WA China alizungumuza luga gani? Heko magu kwa kuwa mtz hakisi tusikubali kubinafusisha taifa. Big up Magufuli, wanaiponda kingereza chako shauri yaoooooo!
Luga= Lugha
Hakisi = Halisi
Kubinafusisha = kubinafsisha
 
Back
Top Bottom