buyoya419
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 555
- 416
Suluhisho la Migogoro ya ulipaji wa bili za umeme (LUKU) Hasa kwenye nyumba za kupanga na maduka na sehemu nyinginezo Ambazo watu zaidi ya mmoja wana changia mita moja ya Umeme .
Ili kuepukana na migogoro hiyo karibu tukufungie mita hii uionayo kwani mita hii. Unaingiza umeme wako mwenyewe.na pindi umeme wao ukaisha kwako kunaendelea kuwaka na unaendelea na matumizi yako
Sifa za mita hii. Unanunia umeme wako mwenyewe na huchangishani tena na mtuu habari za umeme.
Utakapo nunua Umeme inakuletea Token mbili moja unaingiza kwenye mita kuu ya Tanesko na nyingine unaingiza kwenye hii mita yako . Baada yahapo ile mita ya Tanesko inazihamisha zile token kuzileta kwenye mita yako.kwaajili ya matumizi yako.
Pia ukihama una hamanayo kokote pale uendako.
Inakusomea kiasi cha unit ulizonazo na zile ulizo tumia
Inaonyesha viwango vya umeme vinavyo ingia na kutoka.
Gharama zake ni laki moja na elfu ishirini (Tsh.120,000) na ufundi ni elfu 30 tu
Nipo Dar
Ukiitaka njoo pm
Ili kuepukana na migogoro hiyo karibu tukufungie mita hii uionayo kwani mita hii. Unaingiza umeme wako mwenyewe.na pindi umeme wao ukaisha kwako kunaendelea kuwaka na unaendelea na matumizi yako
Sifa za mita hii. Unanunia umeme wako mwenyewe na huchangishani tena na mtuu habari za umeme.
Utakapo nunua Umeme inakuletea Token mbili moja unaingiza kwenye mita kuu ya Tanesko na nyingine unaingiza kwenye hii mita yako . Baada yahapo ile mita ya Tanesko inazihamisha zile token kuzileta kwenye mita yako.kwaajili ya matumizi yako.
Pia ukihama una hamanayo kokote pale uendako.
Inakusomea kiasi cha unit ulizonazo na zile ulizo tumia
Inaonyesha viwango vya umeme vinavyo ingia na kutoka.
Gharama zake ni laki moja na elfu ishirini (Tsh.120,000) na ufundi ni elfu 30 tu
Nipo Dar
Ukiitaka njoo pm