Suluhisho mimi naona ni hili:
1)Sylabus nzima sekondari wafundishe kwa kiswahili.
2)Mitihani ni migumu, ifanywe rahisi kidogo kama ulaya na marekani
3)Miaka minne sekondari ni mingi sana, hasa kufanya mitihani 8 baada kusoma miaka minne- inabidi uwe na kichwa kwelikweli- hata chuo kikuu hawafanyi hivyo, kwa hiyo sekondari ifupishwe iwe miaka miwili tu.
4) Offcourse njaa nyingi bongo, chakula kitolewe bure kea wale wasiojiweza, hungry stomach= hungry brain
1)Sylabus nzima sekondari wafundishe kwa kiswahili.
2)Mitihani ni migumu, ifanywe rahisi kidogo kama ulaya na marekani
3)Miaka minne sekondari ni mingi sana, hasa kufanya mitihani 8 baada kusoma miaka minne- inabidi uwe na kichwa kwelikweli- hata chuo kikuu hawafanyi hivyo, kwa hiyo sekondari ifupishwe iwe miaka miwili tu.
4) Offcourse njaa nyingi bongo, chakula kitolewe bure kea wale wasiojiweza, hungry stomach= hungry brain