Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
Wadau nimefungulia Radio One kwa bahati mbaya,
nimekuta mpambano wa Bonge Flavour, Mh Sugu na Prof jay.
Aisee, Old Skool nimekumbukia, sasa Sugu anasaema amekaa muda mrefu, yuko na Jide.
Nawasilisha.
nimekuta mpambano wa Bonge Flavour, Mh Sugu na Prof jay.
Aisee, Old Skool nimekumbukia, sasa Sugu anasaema amekaa muda mrefu, yuko na Jide.
Nawasilisha.