Sugu will do it.......Why not.....Jamaa kabadilika sana, ila kuna swali bado najiuliza, wabunge wengi ni wafanyabiashara na hata baada ya kupata uheshimiwa waliendelea na biashara zao, sasa Moto chini sijui itakua vp??? Ataendelea kushika kipaza hata baada ya Kuukwaa uheshimiwa???
All the best Sugu.....NI CHADEMA tu 2010