Sugu kata ya Nonde-MBY Mjini

Sugu kata ya Nonde-MBY Mjini

Taja taja taja wait naweka pic sio muda!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
mtaona kata ya nonde waelewa sema simu inagoma kuaplod mngeona mnavyohutubia watoto,------- nyinyi, michadema lazima mivinyesi iwasambae usoni... Nitam2mia mdau yoyote aliyetayari aziatachi. Wezi wakubwa nyie

Wewe utakuwa Dr (SIC) Mary Mwanjelwa Mwizi wa mataulo kwenye ma-guest house

Subiri 2015 Sugu akunyoe bila maji.
 
Nipo hapa nimechelewa kidogo

Wananchi wamejitokeza kwa wingi na muda huu mheshimiwa Mbunge ndio anazungumza nitalet picha na yale atakayozungumza. Micharazo lete picha uumbuke
 
Last edited by a moderator:
mtaona kata ya nonde waelewa sema simu inagoma kuaplod mngeona mnavyohutubia watoto,------- nyinyi, michadema lazima mivinyesi iwasambae usoni... Nitam2mia mdau yoyote aliyetayari aziatachi. Wezi wakubwa nyie

Simu inagoma au UMBEA wako tu,kalale.
 
Wafuasi wa ccm bwana, sijui ndo kutojitambua!? wameanzisha thread hapa mbwembwe nyiingi, matusi kibao kama kawaida yao afu wameishia kuikacha thread.
 
Wafuasi wa ccm bwana, sijui ndo kutojitambua!? wameanzisha thread hapa mbwembwe nyiingi, matusi kibao kama kawaida yao afu wameishia kuikacha thread.

By Sugu:
Dampo la taka kwa kata ya Nonde kaahidi kulipatia ufumbuzi.

Kaahidi kusaidia ujenzi wa ofisi ya Chama kata.

Wananchi wameomba Bwawa la samaki,kaahidi kuja na wataalamu waje kuitathimini hali ya mto Nonde.
Mgogoro wa machinga kauzungumzia na kuahidi kulitatua Pasipo kuharibu taratibu zilizowekwa na kuwaumiza vijana wa mby.

Pia kaomba maoni kwa njia ya Kuandika kwa wale wasio hitaji Kuzungumza.
Mwisho.
Me siyo mzuri kwenye siasa kwa muda mchache niliomsikiliza,Wana Mbeya wanamhitaji sana huyu jamaa,hata kama ana mapungufu hakuna aliye kamilika,wampe nafasi akamilishe mipango yake ya maendeleo kwa jiji la mby.
Haya wanasiasa endeleeni...... Wife kashtuka anajua ndo yaleee ya akina Lusinde.
 
By Sugu:
Dampo la taka kwa kata ya Nonde kaahidi kulipatia ufumbuzi.

Kaahidi kusaidia ujenzi wa ofisi ya Chama kata.

Wananchi wameomba Bwawa la samaki,kaahidi kuja na wataalamu waje kuitathimini hali ya mto Nonde.
Mgogoro wa machinga kauzungumzia na kuahidi kulitatua Pasipo kuharibu taratibu zilizowekwa na kuwaumiza vijana wa mby.

Pia kaomba maoni kwa njia ya Kuandika kwa wale wasio hitaji Kuzungumza.
Mwisho.
Me siyo mzuri kwenye siasa kwa muda mchache niliomsikiliza,Wana Mbeya wanamhitaji sana huyu jamaa,hata kama ana mapungufu hakuna aliye kamilika,wampe nafasi akamilishe mipango yake ya maendeleo kwa jiji la mby.
Haya wanasiasa endeleeni...... Wife kashtuka anajua ndo yaleee ya akina Lusinde.

Sugu bado anauwezo mkubwa wa kuibadilisha Mbeya shida hana madiwani wa kutosha wa kumsapoti kinacho takiwa sasa wanambeya wasifanye makosa 2015 kuto mpa madiwani anatakiwa kuwa na madiwani wengi ili kuichukua halmashauli hapo ndipo wataona faida zaidi na hii ndivyo imefanyika moshi eo hii mzee Ndesa anafanya kazi kwa ufanisi zaidi
 
mtaona kata ya nonde waelewa sema simu inagoma kuaplod mngeona mnavyohutubia watoto,------- nyinyi, michadema lazima mivinyesi iwasambae usoni... Nitam2mia mdau yoyote aliyetayari aziatachi. Wezi wakubwa nyie
Nilijua tu kwamba utaishia kutuandikia matapishi.
 
mtaona kata ya nonde waelewa sema simu inagoma kuaplod mngeona mnavyohutubia watoto,------- nyinyi, michadema lazima mivinyesi iwasambae usoni... Nitam2mia mdau yoyote aliyetayari aziatachi. Wezi wakubwa nyie

unaiga kunya kwa tembo? utapasuka msamba bwana mdogo.CDM ni noumaaaaa
 
huo ni unafki tu haijawah tokea na wala hawanaga ata tendence ya kusomba watu! yamekushuka mzee
 
Back
Top Bottom