Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
hata mi nashangaa,ilitakiwa kabila zote za wajumbe wa PAC zisijihusishe na TANAPA au NCCF au Tanesco kwani maslahi yatagongana.Ndugu yangu kwa nn isiwe kigoma all star wawe wengine?
hata mi nashangaa,ilitakiwa kabila zote za wajumbe wa PAC zisijihusishe na TANAPA au NCCF au Tanesco kwani maslahi yatagongana.Ndugu yangu kwa nn isiwe kigoma all star wawe wengine?
wanafiki hawajifichi, watadhihiri tu.
cdm kwa mwendo huu inazidi kudhalilika.
ni ujinga wa hali ya juu chama kupigana vita na mtu mmoja, mnamjengea umaarufu na ujasiri zaidi huku wenyewe mkijishusha na kujidhalilisha
Kwako Ms Chiume - mliwapataje wasanii hawa? Mlitangaza tenda wasanii mbalimbali wakaomba kazi ya kutengeneza wimbo wimbo? Leka Dutigite wakaibuka kidedea - au ilikuwaje?Naye Meneja Uhusiano wa Tanapa, Paschal Shelutete alikiri kufahamu jambo hilo na kusema: "Leka Dutigite ilifika Hifadhi ya Saadan na kuitangaza kupitia kazi za sanaa... sikumbuki ni lini lakini walifanya kazi na DvD zake zipo.
"Ifahamike si Leka Dutigite pekee, tunafanya kazi na wasanii mbalimbali kutangaza vivutio, mbuga na hifadhi zetu," alisema Shelutete.
NSSF nayo yalonga
Meneja Kiongozi wa Idara ya Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa NSSF, Eunice Chiume alisema pesa walizozitoa kwa kundi hilo zilikuwa malipo ya kutengenezea wimbo maalumu wa shirika hilo na nyingine ni za udhamini wa onyesho lililofanyika mwaka jana mkoani Tanga.
"Kweli mara ya kwanza tuliwalipa Sh25 milioni wasanii wa kundi hilo ili watutengenezee wimbo na Sh56 milioni zilikuwa za udhamini wa onyesho lao, lakini kwa masharti ya kututangaza jambo ambalo lilikuwa na mafanikio kwetu kwani tumefanikiwa kupata wateja wapya 30,000 kutoka sekta isiyo rasmi," alisema Chiume.
Alisisitiza kuwa wametumia kiwango hicho cha pesa ili kujitangaza kwa kuwa hata mashirika ya kijamii yanapaswa kufanya hivyo ili kuvutia wateja wengi zaidi.
wanafiki hawajifichi, watadhihiri tu.
cdm kwa mwendo huu inazidi kudhalilika.
ni ujinga wa hali ya juu chama kupigana vita na mtu mmoja,
mnamjengea umaarufu na ujasiri zaidi huku wenyewe mkijishusha na kujidhalilisha
ni ujinga wa hali ya juu chama kupigana vita na mtu mmoja,Tumia akili na siyo unakurupuka,Sugu alikuwa anawakilisha maoni ya kambi ya upinzani,siyo yake binafsi au ya chadema kama unavyotaka kutuaminisha.Wacha ushabiki Wako husio na manufaa kwa Uma.