S Sanda-CR7 Senior Member Joined Dec 19, 2017 Posts 101 Reaction score 73 Jan 18, 2018 #41 Aisee unaweza kula kichapo sura ikavimba mpk ukajikataa kuwa sio ww
Midekoo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2015 Posts 47,774 Reaction score 256,816 Jan 18, 2018 Thread starter #42 Antonio de Guzman said: Ni uzembe wa hali ya juu kupigwa na mwanamke ata kama ni jimama beef lasagna Click to expand... Lazima awe mpole Ela atatoa wapii Marioo wakat mjini mtaji kiuno
Antonio de Guzman said: Ni uzembe wa hali ya juu kupigwa na mwanamke ata kama ni jimama beef lasagna Click to expand... Lazima awe mpole Ela atatoa wapii Marioo wakat mjini mtaji kiuno
Midekoo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2015 Posts 47,774 Reaction score 256,816 Jan 18, 2018 Thread starter #43 quier said: Hahahaa!! Naangalia uwezekano wa kuanguka na pikipiki alafu avimbe mdomo namna hiyo, sijaielewa hiyo ajali bora ungesema ameumwa na nyigu au nyuki Click to expand... Hahahhahaa
quier said: Hahahaa!! Naangalia uwezekano wa kuanguka na pikipiki alafu avimbe mdomo namna hiyo, sijaielewa hiyo ajali bora ungesema ameumwa na nyigu au nyuki Click to expand... Hahahhahaa
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,955 Reaction score 43,393 Jan 18, 2018 #44 Beef Lasagna said: Lazima awe mpole Ela atatoa wapii Marioo wakat mjini mtaji kiuno Click to expand... Vijana wana kazi kweli kweli
Beef Lasagna said: Lazima awe mpole Ela atatoa wapii Marioo wakat mjini mtaji kiuno Click to expand... Vijana wana kazi kweli kweli
N NAMESHE JF-Expert Member Joined Jan 11, 2018 Posts 669 Reaction score 796 Jan 18, 2018 #45 hahaha inatisha
moj6 JF-Expert Member Joined Nov 2, 2017 Posts 3,354 Reaction score 5,006 Jan 19, 2018 #46 Ki Ben 10 naye anayohaki ya kubadili mboga Mara moja moja
Locci JF-Expert Member Joined Dec 16, 2017 Posts 1,002 Reaction score 826 Jan 19, 2018 #47 huyo anafaa kweli kuwa mariooo!!maana dume kabisaa wapigwa na mwanamke mpaka waumuka kabisaaaa kama skonzi...???
huyo anafaa kweli kuwa mariooo!!maana dume kabisaa wapigwa na mwanamke mpaka waumuka kabisaaaa kama skonzi...???
otto2020 Senior Member Joined Oct 10, 2016 Posts 198 Reaction score 430 Jan 19, 2018 #48 Nokia83 said: Mwanamke anakupigaje kipigo cha mbwa mwizi naww umetulia tu?! Click to expand... kuna wanawake mabaunza kweli
Nokia83 said: Mwanamke anakupigaje kipigo cha mbwa mwizi naww umetulia tu?! Click to expand... kuna wanawake mabaunza kweli
corasco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2016 Posts 3,664 Reaction score 3,394 Jan 19, 2018 #49 Ha ha ha hatarii