Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,774
- 256,812
Tukio hili limetokea nchini Zambia baada ya Mwanamama ambaye Mfanyabiashara Mwenye umri wa miaka 54 anayejulikana kwa Jina la Maggie, alimshushia kichapo kizito mpenzi wake mwenye miaka 26 baada ya kumfumania akiwa anafanya mapenzi na mwanamke mwingine Kwenye Gari aliyomnunulia.
Maggie aliamua kuchukua sheria mikononi kumuadhibu mpenzi wake huyo kama mtoto mdogo baada ya kuumizwa kihisia na mpenzi wake.
Maggie aliamua kuchukua sheria mikononi kumuadhibu mpenzi wake huyo kama mtoto mdogo baada ya kuumizwa kihisia na mpenzi wake.
